P Precious Diamond JF-Expert Member Joined Jun 9, 2023 Posts 593 Reaction score 1,376 May 22, 2024 Thread starter #21 Mtutuwandei said: Na picha za raisi aliye madarakani na Nyerere kwenye ofisi za watu binafsi ni takwa la kisheria? Click to expand... Hii ipo kisheria nadhani, na inatakiwa iwekwe ile ambayo imetoka watu walioidhinishwa kufanya hivyo
Mtutuwandei said: Na picha za raisi aliye madarakani na Nyerere kwenye ofisi za watu binafsi ni takwa la kisheria? Click to expand... Hii ipo kisheria nadhani, na inatakiwa iwekwe ile ambayo imetoka watu walioidhinishwa kufanya hivyo
M Mtutuwandei JF-Expert Member Joined Jun 28, 2022 Posts 1,317 Reaction score 1,817 May 22, 2024 #22 Precious Diamond said: Hii ipo kisheria nadhani, na inatakiwa iwekwe ile ambayo imetoka watu walioidhinishwa kufanya hivyo Click to expand... Ambaye haweki anavunja sheria?
Precious Diamond said: Hii ipo kisheria nadhani, na inatakiwa iwekwe ile ambayo imetoka watu walioidhinishwa kufanya hivyo Click to expand... Ambaye haweki anavunja sheria?
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,283 Reaction score 9,925 May 22, 2024 #23 Inawasaidia kupata teuzi
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 4,291 Reaction score 5,786 May 22, 2024 #24 Precious Diamond said: Hii inamaanisha waliondaa shughuli hiyo nao ni upande B wa kiongozi husika? Click to expand... Hao wanalainishwa na mafuta kwenye bahasha za kaki tu.
Precious Diamond said: Hii inamaanisha waliondaa shughuli hiyo nao ni upande B wa kiongozi husika? Click to expand... Hao wanalainishwa na mafuta kwenye bahasha za kaki tu.