Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Yaelekea ameparamia miti sana alipokuwa primary!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi waungwana, huyu ukikutana naye njiani akiwa hivi unamwacha kweli?
Yaelekea ameparamia miti sana alipokuwa primary!
Ninaombeni contact zake/zao!Hivi waungwana, huyu ukikutana naye njiani akiwa hivi unamwacha kweli?
mrembo au warembo ni pesa tu hapo sijaona urembo au niseme urimbo
whatsssssss its not good.
Conquest
kapozi kazuri haka
![]()
yaani kuacha mapaja nje ndo urembo?? miguu myeusi, imepinda, makovu kibao, maumbo ya kabati, mtindi lol,
Tembeeni japo somalia, ethiopia!!, lol
kumbe ndo maana picha nyingi hapa JF za ku-copy mmmmh, masela tukaoe kwa zenawi tuokoe Taifa, siku za usoni tutakosa miss Tanzania, kama hawa nao watazaa the same spp!!
kapozi kazuri haka
![]()
yaani kuacha mapaja nje ndo urembo?? miguu myeusi, imepinda, makovu kibao, maumbo ya kabati, mtindi lol,
Tembeeni japo somalia, ethiopia!!, lol
kumbe ndo maana picha nyingi hapa JF za ku-copy mmmmh, masela tukaoe kwa zenawi tuokoe Taifa, siku za usoni tutakosa miss Tanzania, kama hawa nao watazaa the same spp!!
Mmh hiyo ndo damu ya redcard we ni mtanzania halisi!! huna haja ya kukimbia