mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
Nice thread. . sikuwai kufurahia ushindi wa richa adhia, nasreen karim, angela damas! in particular order, walibaki wenginevilibidi nizoee tu! my bestiest from that list, Nancy sumari, jackline ntuyabaliwe, happynes magese, miriam ikoa, faraja kota. in particular order lol. .
picha ya shose sinare plz
TUNDU LISSU? (natania)Kota ameolewa na Mbunge wa Singida!
katika hiyo list huyo wa 2006 wema sepetu ndie the highest level stupid girl i ever seen(lugha ya watu hiyo)!! hajitambui kabisa!!Si vibaya kujikumbusha na pia kufahamu wako wapi na wanafanya nini sasa katika maisha yao. Je kuna chochote cha kujifunza kutoka katika maisha yao?
https://www.jamiiforums.com/356281-post127.html
Ndo maana huwa mnafeli mitihani, wapi wameandika mamiss, Kichwa cha habari kinasemaje? Picha za warembo wetu wa zamani, pigia mstari warembo, hakuna mahali wameandika mamiss... Kuwa makini!hey da dude.....list ya waliowahi kuwa ma miss tz.....Miriam hajawahi kuwa miss tz....
next tyme chamba kwanza ndio ukurupuke...
maana umetoka na nnya
yupo Stanbic Bank as head of corporate banking kama sikosei
Pursuit of fame comes with insanity, ndo dunia ya leoActually went to primary school together. She used to be a very bright student and very well behaved up until the fifth grade. What happened after that anajua mwenyewe.