Picha za Warembo Wetu Wa Zamani - Wako Wapi Na Wanafanya Nini?

Picha za Warembo Wetu Wa Zamani - Wako Wapi Na Wanafanya Nini?

silivya bahame tulikuwa nae chuo,alikuwa law yeye!
-rough driving!Lol.nadhani ni mrembo pekee aliyepata gari ya maana.alipewa hilux double kibini

-ciggarate smoka!actually she was a chain smoker.uzungu mwingi.lol!wapambe wake wanasema maisha yake yote tangu anazaliwa alikuwa london

-pool-table!mama yangu.demu alikuwa master-pool

-HONESTLY SHE WAS THE SEXIEST WOMAN I HAVE EVER SEEN IN MY LIFE!maprof walimsumbua sana,wakamdisko kwa chuki zao tu.lakini akarudishwa

sijui yupo nchi gani dem huyu
....Silvia alipewa brand new Nissan Pick Up Hard body kutoka Kampuni ya D.T. Dobie na sio Hilux (Toyota). Mwingine aliyepata brand new car ni Angela Damas alipewa gari aina ya Suzuki Jimny toka same Company, waliobakia wote walipewa mitumba.
 
vick+why+mh.jpg
 
Sasa hii thread si ingefaa kule kwenye Jamii Photos. IMHO
 
Duuuuuuhhhhhhhh! Ya long time sana hii . . .
 
1995: Emily Adolph

anakesha Qbar, anaendesha maisha yake kwa biashara ya haramu ya kutoka na wanaume hasa wa kizungu kwa kulipwa pesa na pombe
 
attachment.php
Wenye kukumbuka majina yao anaweza kusaidia kuyaweka hapa...

Anayevikwa taji ni EMMILY ADOLPH, anayemvalisha taji ni AINA MAEDA, 1st runner up ni LILIAN MUSHI, na 2nd runner up ni ROSEMARY MLEKWA.
 
Mama Flora Kambona naye nasikia alikuwa Miss Tanganyika 1964. Yuko wapi sasa?
 
Superman kwa mapicha picha ya totoz nakuaminia. Lol.
 
Back
Top Bottom