Kwa kazi sidhani, itakua kuna issue walitibuana tu.Mlevi tu huyu Hassan naona ni ndoto za utoto au ulevi na kukosa kaziView attachment 1908205View attachment 1908206View attachment 1908207
Kumbe ni mtu wetu chamani. Loh! Kichekesho kingine ni hivi watu walipohusisha na imani za kiislamu. Sasa huyo jinsi anapiga vyombo namna hii, Taliban atakuweza kweli? Huyu wanamshuti wenyewe maulamaa. Wale hawatakaGi ujinga.
Molingo Rhomboid no problemNtamwambia Molingo akulishe ...😅
Shati alilovaa leo ndo hili
Shati alilovaa leo ndo hili
Molingo Rhomboid no problem
Nini maana yake hii
Wa Dar wanalishana.Wanaume wanalishana keki siku hizi???
Hizi ni zawaidi kutoka shirika hili la usafiri!? Msiharibu biashara za watu. Bado tunahitaji wawekezaji!Nini maana yake hii
Kwa hali hii basi magaidi halisi wako ccm bila shaka.Huyu ni ccm kindakndaki hadi walimshonea saizi yke!!
Maana kitambaa chake sio bei ndogo
Ndio maana wanadhani kila mtu gaidi kumbe wao ndio wanayafugaKumbe jamaa alikuwa mwana ccm. Safi sana