carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,771
Samahani wadau naombeni maana ya "kula bata" maàna mimi kwenye picha namuona huyo mdada kapiga picha mbele ya jengo..Unajua shoga yetu Cheusi mangala mambo yake sio Haba , sema tu ni vile yeye hanaga show off za kipumbavu, ni miongoni mwa mastaa wachache ambao wanaishi maisha ya kifahari, anaishi nyumba nzuri , na kama ulikua hujui , Ana push your dream car , BMW X6, na Ana biashara zake kadhaa hapa mjini .
Ila mwenzangu najiulizaga, jeuri ya pesa anapata wapi? Ni WASAFI alikoajiriwa au mumewe ? , maana cheusi mangala pesa anazo na hakanaga majivuno, au ndo baba watoto wake bado anahudumia?
Ila zamaradi Ana akili bwana , akitembezi kwa wanaume wa hovyo , Hana muonekano mzuri kihivyo Ila kichwani yupo smart sana tofauti na mastaa wenzie, na ndio maana nadhani Ana hang out na wanaume wa maanaView attachment 893840
Kwahio mtu akipiga picha mbele ya mlimani city ndio yuko anakula bata..
Au ukienda abroad ndio kula bata??