Picha zangu za leo ni hizi hebu toeni maelezo yenu Mtaa kwa mitaa

Picha zangu za leo ni hizi hebu toeni maelezo yenu Mtaa kwa mitaa

Hakuna cha maandalizi ya vita, hiyo ni ubovu wa barabara inaonyesha serikali ilivyoshindwa kuwajibika kwa wananchi wake!
 
ccmwatoke.jpg
 
mdau nakushauri uanzishe blog yako maana unatuchosha tu hapa na mapicha ambayo mengine ume-download kutoka kwa Michuzi kuja kutuchosha tu hapa
Hukulazimishwa kuangalia mkuu ehhhhhh watu wengine na wivu wa kijinga !!!!!!!!!!!!
 
Mzizimkavu uwe unajaribu kuacknowledge kazi za watu kwa kuweka sources basi duh
RayB Lakini unajuwa unachokisema? Sija kuacknowledge kazi za watu wala kuweka sources. Nime Copy and Paste kama Picha zinavyojieleza wenyewe umeziona vizuri mkuu Rayb? au kuna kitu nimezidisha uongo wangu?
 
IMitaa ya Ilala sehemu ya pili.

Leo watu wa Ilala nipo mitaa ya Karume

Soko letu jipya la Machinga ndo kama hili

Hapa nawaonesha uwanmja wa Karume na mbaali Mwalimu House

Mitaa ya kati hapa kama unatokea TRA hapa Shaurimoyo.

Waliosoma hapa Alharamain wataikumbuka hili jengo.

Mambo flani ya maji ya Ilala hapa Mchikichini kiwanda cha TBL

Mtaa wa Suwata huo hadi Karikoo

Hapa kati ni Shule ya Uhuru Mchanganyiko na nyuma ni magorofa ya NHC TBL.
Nafikiri waliotoka mitaa hiyo wameona kidogo maendeleo na mandhari ya mji wao.
..Dar es Salaam hakuna mtaa wa Suwata, huo ni mtaa wa Lindi ila kuna ofisi za Suwata kwenye mtaa huo karibu na geti la kuingilia Shule ya sekondari Benjamin Mkapa!
 
Hiyo ni kitomoto haswaaaaaa!! tena iko pale karibu na ofisi za serikali ya mataa kwa mama modester mtu wangu, huwa napitia siku flaniflani
 
Back
Top Bottom