Sintah ana mtoto mzuri sana, si unamuona mama yake alivyo? Nasikia yupo uganda kwa baba yake, nikipata picha ntawatumia wapendwa
Sawa....
namfahamu wa kiume
Jaamni si atulie tu mbn mashabiki wanampelekesha ivyo...hawajui watanzania huyu awaendekeze mwisho watataka na video anayojifungua
Mama zima linafanya upuuzi kama huu pumbafuu, bora ingekuwa ndo mimba yake ya kwanza sasa tumbo limetepeta kaa uji wa ulezi kwenye mfuko wa rambo.!
Mama zima linafanya upuuzi kama huu pumbafuu, bora ingekuwa ndo mimba yake ya kwanza sasa tumbo limetepeta kaa uji wa ulezi kwenye mfuko wa rambo.!
Mpuuzi lakini still unamfuatilia.
zari ni mzuri jamani mtaugua sana na dawa hakuna.Mwacheni afanye yake mara hana mimba....ss kawajutisha!
Mama zima linafanya upuuzi kama huu pumbafuu, bora ingekuwa ndo mimba yake ya kwanza sasa tumbo limetepeta kaa uji wa ulezi kwenye mfuko wa rambo.!