Picha: Zari, Diamond wakiwa UK

Picha: Zari, Diamond wakiwa UK

Team kiba bwana! Bahati mbaya huyo star wao hawajui hata demu wake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Zari mguu moja mrefu mmoja mfupi, kama mnabisha tumeni picha akiwa amesimama straight
19050439_306150826477274_4068183041267204096_n.jpg
 
Kumbe na Uingereza napo huwa kuna uchafu uchafu chini kama huku Kwetu Kinondoni kwa Manyanya? Basi nimeghairi siendi tena huko Ulaya nabaki zangu hapa hapa tu.
Hata mie nimeshanga wamepiga picha pembeni ya mfereji wa avi? hivi kumbe ulaya wanaenda chooni?
 
Subutu kipindi kile alikua anapiga picha mlangoni anarudi kulala ashukuriwe ivan kufa[emoji23]
Haaa haaa...hata mi nilitaka shangaa

Maana sasa kila picha yuko ofisini [emoji15]
 
Sio kweli....acha zako wewe[emoji23] [emoji23]
Basi tu leo nna bando la mawazo ningeenda instagram nkuletee picha hapa, Ivan kadanja May, ningekuonesha picha zari akipost office before hiyo May, ila nnavopenda umbea ntakutafutia tu niwaite.
 
Mmh!! Domo na mama tukinao mbona mnapa tununu presha hivi? Juzi tu hapa mwenzenu maralia ilimpanda kichwani, sasa hivi naona itahamia kwenye makalio, maana sio kwa kumrusha roho huko, Mara South, Mara London, wakati mwenzenu ata haijui London inafananaje mfyuu

Na wewe tununu ulizidi kujishaua mno kipindi kile domo kakubali mtoto ukajiona wewe ndo keki wenzio wote mavi, ndo ujifunze kuparamia Mali za watu, mtu mzuri kwa nini usitafute wako ukawa na amani, ona unavyorushwa roho mpaka maralia zinakupanda kichwani, kupenda vya watu kumekutokea puani, domo anakuona kama dust bin, nasikia hyo mtoto hana habare nae, tununu mwaka wako huu
1f1880698f789d451039ce15b9a556de.jpg
Kumbe hata Ulaya kuna anita (baisikeli kubwa)
 
Back
Top Bottom