Zari mguu moja mrefu mmoja mfupi, kama mnabisha tumeni picha akiwa amesimama straight
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Wivu wa open shoes?
Hata mie nimeshanga wamepiga picha pembeni ya mfereji wa avi? hivi kumbe ulaya wanaenda chooni?Kumbe na Uingereza napo huwa kuna uchafu uchafu chini kama huku Kwetu Kinondoni kwa Manyanya? Basi nimeghairi siendi tena huko Ulaya nabaki zangu hapa hapa tu.
Sio kweli....acha zako wewe[emoji23] [emoji23]Mbona alikua anaonesha au hukua na smartphone?
Haaa haaa...hata mi nilitaka shangaaSubutu kipindi kile alikua anapiga picha mlangoni anarudi kulala ashukuriwe ivan kufa[emoji23]
hana adabu sana huyu bint kubafu zakeHahahaaa kiukweli mi hata cna uruma nae acha augue
Nisaidie kuulizaWapiiii
Basi tu leo nna bando la mawazo ningeenda instagram nkuletee picha hapa, Ivan kadanja May, ningekuonesha picha zari akipost office before hiyo May, ila nnavopenda umbea ntakutafutia tu niwaite.Sio kweli....acha zako wewe[emoji23] [emoji23]
Kumbe hata Ulaya kuna anita (baisikeli kubwa)Mmh!! Domo na mama tukinao mbona mnapa tununu presha hivi? Juzi tu hapa mwenzenu maralia ilimpanda kichwani, sasa hivi naona itahamia kwenye makalio, maana sio kwa kumrusha roho huko, Mara South, Mara London, wakati mwenzenu ata haijui London inafananaje mfyuu
Na wewe tununu ulizidi kujishaua mno kipindi kile domo kakubali mtoto ukajiona wewe ndo keki wenzio wote mavi, ndo ujifunze kuparamia Mali za watu, mtu mzuri kwa nini usitafute wako ukawa na amani, ona unavyorushwa roho mpaka maralia zinakupanda kichwani, kupenda vya watu kumekutokea puani, domo anakuona kama dust bin, nasikia hyo mtoto hana habare nae, tununu mwaka wako huu
Ulikuwa huoni akionyesha ile desk top yake ya appleMbona alikua anaonesha au hukua na smartphone?