Picha zasambaa zikionesha uharibifu uliofanyika kwa submarine ya Urusi, baada ya kupigwa na drone

Wewe ni mpuuzi,suala ya kupasua matofali ni moja ya mazoezi ya utimamu wa askari kwani unafikiri USA special forces Yao hawafanyi hivi? Najuwa km kawaida Yako kukashifu jw wakati wa maonyesho, bure kbs
Ebu tupiamo kapicha ka askari komandoo wa Kimarekani akivunja tofali kwenye halaiki tuwashushue wanafiki! Ahahahahaha!
 
Kule kwenu munapindisha nondo kwa mkono lakini pia mnavunja tufali kwa kiganya cha mkono na kukimbia na mabegi mazito mgongoni pole pole mtafika tu
 
Wewe ni mpuuzi,suala ya kupasua matofali ni moja ya mazoezi ya utimamu wa askari kwani unafikiri USA special forces Yao hawafanyi hivi? Najuwa km kawaida Yako kukashifu jw wakati wa maonyesho, bure kbs
Rusha picha moja tu inayoonyesha askari jeshi wa Marekani,wakipasuliana matofali kifuani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…