spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Ahhahahahah
Mtoa mada Как вы?Uta zichambua mwenyewe.
View attachment 2573622
Kwa huo uzito hapo juu, baada ya muda mchache nyufa zinaanza.
HahaahahhaKwa huo uzito hapo juu, baada ya muda mchache nyufa zinaanza.
Nyumba za maeneo yenye barafu ili barafu isikae juu ya paa
Wanasema nyumba iliyoezekwa namna hiyo huwa baridi ndani. Haina joto.Picha ya nyumba huo uezekaji ni ujinga wa kiwango cha lami.Wenzetu Ulaya na Marekani huinua paa namna hiyo ili kipindi cha winter barafu iteremke haraka chini..Na kwenye hilo paa nafasi haibaki hollow huwa vinajengwa vyumba ndio maana waweza kuona madirisha kwenye paa.
Lakini huku Africa na unakuta mtu kainua paa namna hiyo halafu hiyo nafasi ya mwinuko wa paa inakuwa makazi ya buibui
Yes, vilevile wenyewe huitumia nafasi iliyoko wazi huko juu kwa vyumbaNyumba za maeneo yenye barafu ili barafu isikae juu ya paa
Huo uoto na mwonekano wa tofari unaashiria nyumba iko kati ya Njombe, Iringa, Mufindi ambako ni baridi in nature sasa sijui hapo wanataka baridi ipiWanasema nyumba iliyoezekwa namna hiyo huwa baridi ndani. Haina joto.