CCM vs CHADEMA.
Picha ipi hasa imeelekea kuongoza nchi kwa amani. Utulivu?
CCM wamekalia hasa kiongozi uongozi, picha inajieleza, pia hekima na busara uongozi wa CCM
CHADEMA ya Lissu imeelekea uharakati harakati zaidi na kukosoa kosoa.
Katika suala la kujenga amani nchi yetu CHADEMA ya Lissu bado.
Picha ya CHADEMA inaonesha kwamba kama wamekasirikiana hivi, hawana amani ktk nafsi zao tofauti na CCM
Picha ipi hasa imeelekea kuongoza nchi kwa amani. Utulivu?
CCM wamekalia hasa kiongozi uongozi, picha inajieleza, pia hekima na busara uongozi wa CCM
CHADEMA ya Lissu imeelekea uharakati harakati zaidi na kukosoa kosoa.
Katika suala la kujenga amani nchi yetu CHADEMA ya Lissu bado.
Picha ya CHADEMA inaonesha kwamba kama wamekasirikiana hivi, hawana amani ktk nafsi zao tofauti na CCM