Aliyeweka hii picha ni mtu wa hovyo sana
Kuna uwezekano na wao wana forum zao wakielezea matatizo yao piaAcheni kueneza propaganda za watu weupe bila ya kujijua. Ina maana duniani picha za watu wenye shida ni za watu weusi tu!!!
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Ni nabii, mtume na mganga wa jadiAliyeweka hii picha ni mtu wa hovyo sana