Picha zinazohuzunisha zaidi (sad pictures )

Picha zinazohuzunisha zaidi (sad pictures )

2e26113bf983cba37c36c99f2576f6b1.jpg
 
Huwa najiuliza katika shida kama hizo ikiwemo njaa na dhiki lakini kinamama na kinababa wanazaa tu...hawasubiri hata hali iwe shwari
Binafsi nimejiuliza pia hivyo pia, lakini nikawa najiuliza sisi wanaume hivi inakuwa vipi unapata nguvu za kumpa mimba mwanamke katika hali ya namna hiyo!
Wanawake kidogo wanaweza kupata udhuru mfano kubakwa au kushikwa kwa nguvu.
 
Tumekuwa na picha nyingi zinazotutafakarisha vingi vingi, lakini tumekuwa interest zaidi na picha zenye kupendeza, kufurahisha, kuhamasisha, kujifunza na kuburudisha.

Hii itakuwa thread maalum ya picha za kuhuzunisha na kutafakarisha juu mienendo yetu mibaya hapa duniani na athari zake kwa wengine binadamu na viumbe wengine wanaopigania kuishi kwenye uso wa dunia.

Picha zote ni hisani ya mtandao.

Ya kuanzia ni kijana wa Kijapani akiwa amembeba mgongoni mdogo wake akiwa amefariki kwa athari za vita, hii ilikuwa vita ya pili ya duniaView attachment 2525149

😥 Daaah
 
Binafsi nimejiuliza pia hivyo pia, lakini nikawa najiuliza sisi wanaume hivi inakuwa vipi unapata nguvu za kumpa mimba mwanamke katika hali ya namna hiyo!
Wanawake kidogo wanaweza kupata udhuru mfano kubakwa au kushikwa kwa nguvu.
Akili sana
 
Pamoja na negative nyingi zinazo waelekea wanawake lakini mimi binafsi nitakua mtu wa mwisho kumtukana mwanamke, hakuna upendo inauvuka upendo wa mama na mwana.
de275a3e66eace6d1868c459e5d4e11e.jpg
 
Acheni kueneza propaganda za watu weupe bila ya kujijua. Ina maana duniani picha za watu wenye shida ni za watu weusi tu!!!

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom