Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nimejiuliza pia hivyo pia, lakini nikawa najiuliza sisi wanaume hivi inakuwa vipi unapata nguvu za kumpa mimba mwanamke katika hali ya namna hiyo!Huwa najiuliza katika shida kama hizo ikiwemo njaa na dhiki lakini kinamama na kinababa wanazaa tu...hawasubiri hata hali iwe shwari
😥 DaaahTumekuwa na picha nyingi zinazotutafakarisha vingi vingi, lakini tumekuwa interest zaidi na picha zenye kupendeza, kufurahisha, kuhamasisha, kujifunza na kuburudisha.
Hii itakuwa thread maalum ya picha za kuhuzunisha na kutafakarisha juu mienendo yetu mibaya hapa duniani na athari zake kwa wengine binadamu na viumbe wengine wanaopigania kuishi kwenye uso wa dunia.
Picha zote ni hisani ya mtandao.
Ya kuanzia ni kijana wa Kijapani akiwa amembeba mgongoni mdogo wake akiwa amefariki kwa athari za vita, hii ilikuwa vita ya pili ya duniaView attachment 2525149
Akili sanaBinafsi nimejiuliza pia hivyo pia, lakini nikawa najiuliza sisi wanaume hivi inakuwa vipi unapata nguvu za kumpa mimba mwanamke katika hali ya namna hiyo!
Wanawake kidogo wanaweza kupata udhuru mfano kubakwa au kushikwa kwa nguvu.
Africa ndio kuzimu yenyeweMwenyezi Mungu alipomuumba mtu katika ardhi natumaini hakua na malengo aje ateseke juu ya hii ardhi.
Badala yake matokeo yamekua tofauti na ilivyo tarajiwa!
Ni kwa sababu ya kwenda kinyume na maelekezo.
Bahati mbaya athari zinakua kubwa kuliko kwa wale ambao hawakupaswa kuathika kwa vyovyote.View attachment 2525635View attachment 2525636View attachment 2525637View attachment 2525638View attachment 2525639View attachment 2525640