Picha zinazoonesha uhalisi wa kuhuzunisha wa dunia ya leo na ijayo

Picha zinazoonesha uhalisi wa kuhuzunisha wa dunia ya leo na ijayo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Sura bandika zenye ready made makeup.. Hakuna haja ya kujipodoa tena. Tumeshakuwa na kila kitu cha bandia mpaka akili ya bandia sasa ipo. Inaitwa akili mnemba.

FB_IMG_1733454914476.jpg


Maisha ya social networks yamejaa uhalisia bandia. Unachokiona mtandao ni sivyo kilivyo katika uhalisia wake

FB_IMG_1733454894634.jpg


Saa nyingine kinachooneshwa sivyo kilivyo katika uhalisia wake

FB_IMG_1733454904120.jpg


Nguvu ya amri na dhana ya survival of the fittest. Wenye nguvu ndio watatawala😭

FB_IMG_1733454884161.jpg


Manmade problem. Hatuna wa kumlaumu

FB_IMG_1733454878618.jpg


Uhalisia wa mahusiano ya kileo.. 😭 moyo wa mtu ni kiza kinene

FB_IMG_1733454873842.jpg


Kila mtu leo ni CCTV

FB_IMG_1733454869744.jpg


Ukitoa msaada acha camera nyumbani

FB_IMG_1733454864959.jpg


Ibilisi wa muda. Social media

FB_IMG_1733454860202.jpg


Tumezika kabisa vipawa vya kusoma vitabu

FB_IMG_1733454851631.jpg


FB_IMG_1733454843315.jpg


FB_IMG_1733454835090.jpg


Hata wewe uko hapa😀

FB_IMG_1733454830639.jpg


FB_IMG_1733454826288.jpg
 
Mabadiliko huwa yanashangaza, lakini jambo la kushangaza pia....hayazuiliki!!
 
View attachment 3170112saa nyingine kinachooneshwa sivyo kilivyo katika uhalisia

View attachment 3170112saa nyingine kinachooneshwa sivyo kilivyo katika uhalisia wake
Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo,kwahiyo huyo mtoa hutuba hapo anadanganya.
View attachment 3170112saa nyingine kinachooneshwa sivyo kilivyo katika uhalisia wake
Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo, kwahiyo huyo mtoa hutuba hapo anadanganya.
 
Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo,kwahiyo huyo mtoa hutuba hapo anadanganya.

Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo, kwahiyo huyo mtoa hutuba hapo anadanganya.
Nimeikumbuka simulizi yake
 
Sura bandika zenye ready made makeup.. Hakuna haja ya kujipodoa tena. Tumeshakuwa na kila kitu cha bandia mpaka akili ya bandia sasa ipo. Inaitwa akili mnemba.

View attachment 3170110

Maisha ya social networks yamejaa uhalisia bandia. Unachokiona mtandao ni sivyo kilivyo katika uhalisia wake

View attachment 3170111

Saa nyingine kinachooneshwa sivyo kilivyo katika uhalisia wake

View attachment 3170112

Nguvu ya amri na dhana ya survival of the fittest. Wenye nguvu ndio watatawala😭

View attachment 3170113

Manmade problem. Hatuna wa kumlaumu

View attachment 3170114

Uhalisia wa mahusiano ya kileo.. 😭 moyo wa mtu ni kiza kinene

View attachment 3170115

Kila mtu leo ni CCTV

View attachment 3170117

Ukitoa msaada acha camera nyumbani

View attachment 3170118

Ibilisi wa muda. Social media

View attachment 3170119

Tumezika kabisa vipawa vya kusoma vitabu

View attachment 3170120

View attachment 3170121

View attachment 3170124

Hata wewe uko hapa😀

View attachment 3170125

View attachment 3170126
mkuu habari nina shida sana na wewe pm yako imefunga
 
Noma sana ukianzia mwanzo wa hizo picha hadi mwisho lazima ukutane na tatizo au matatizo yako kabisaa
 
Back
Top Bottom