Picha zingekuwa zinatoa taswira ya mshindi basi Lissu ungekuwa huna chako!

Picha zingekuwa zinatoa taswira ya mshindi basi Lissu ungekuwa huna chako!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Hii kampeni ya kuhakikisha hakuna shina litakalochipua naona inafanya kazi sawasawa na mpaka kesho bado kazi inaendelea...

IMG_20200926_135249.jpg


---------------------------------------------------------------
Picha ya chini anayemfaham huyu dada naomba amsalimie nampa 👊 yake na 🙏.

IMG_20200926_143713.jpg
 
Hii kampeni ya kuhakikisha hakuna shina litakalochipua naona inafanya kazi sawasawa na mpaka kesho bado kazi inaendelea...

View attachment 1581349


---------------------------------------------------------------
Picha ya chini anayemfaham huyu dada naomba amsalimie nampa [emoji109] yake na [emoji120].

View attachment 1581372
Kaonesha mapenzi ya dhati,lkn muhimu kuliko yote ni tarehe 28.
 
Hii kampeni ya kuhakikisha hakuna shina litakalochipua naona inafanya kazi sawasawa na mpaka kesho bado kazi inaendelea...

View attachment 1581349


---------------------------------------------------------------
Picha ya chini anayemfaham huyu dada naomba amsalimie nampa 👊 yake na 🙏.

View attachment 1581372
Tuache utani huyu dada amejaaliwa mashallah si haba...
 
Kwakweli Chadema hawanaga mademu flat screen ni sofa tupu.ni basi tu ila ningekuwa mwanachama wao ningetafuna sana nyama mbichi.
Chichiem kuna wale wanawake wenye miili nyumba,watu wa mviringo waliojazia mbele na nyumba,full vitambi huku mgongo na makalio vikiwa vimeungana.
 
Back
Top Bottom