John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Katiba mpya yanini sahizi ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naskia wanadai katiba mpya
AahaaaaaaKikosi cha kilabu ya mnyama mkali mwituni Paka fc, Wakiwa katika mawindo ya kumuwinda Coastal union fc katika mchezo utakaochezwa hivi karibuni.
Watu hao wasiofahamika na wasiojulikana wanajihusisha na shughuli gani nchini, walionekana wakikimbia kimbia na kuruka ruka hapa na pale pasipokuwa na shughuli maalum.
Paka, #GuvuZiro
View attachment 2629185
View attachment 2629186
Halafu hii picha imepigwa bunjuItakua wanajiandaa kubeba vindooView attachment 2629844
duhh!!!bado wana moyo na mpira tu?Kikosi cha kilabu ya mnyama mkali mwituni Paka fc, Wakiwa katika mawindo ya kumuwinda Coastal union fc katika mchezo utakaochezwa hivi karibuni.
Watu hao wasiofahamika na wasiojulikana wanajihusisha na shughuli gani nchini, walionekana wakikimbia kimbia na kuruka ruka hapa na pale pasipokuwa na shughuli maalum.
Paka, #GuvuZiro
View attachment 2629185
View attachment 2629186
Aiseeee, we bro umenichekesha sana.Kikosi cha kilabu ya mnyama mkali mwituni Paka fc, Wakiwa katika mawindo ya kumuwinda Coastal union fc katika mchezo utakaochezwa hivi karibuni.
Watu hao wasiofahamika na wasiojulikana wanajihusisha na shughuli gani nchini, walionekana wakikimbia kimbia na kuruka ruka hapa na pale pasipokuwa na shughuli maalum.
Paka, #GuvuZiro
View attachment 2629185
View attachment 2629186