Pichani ni mwaka 1937. kwa mara ya kwanza wanawake wawili walivaa nguo fupi na kupita barabarani walisababisha ajali

Mkuu,

Sidhani kama kuna ukweli kuhusiana na hilo.

Maana kama ni nguo fupi, zimeanza kuvaliwa na wasichana zamani hata kabla ya mwaka huo wa 1937 ingawa haikuwa kawaida sana.

Isitoshe picha zina viashiria vingi kuwa ni 'Staged', yaani zimetengenezwa.
 
Sio picha za kweli hizi
Mke wa adolph hitrel alikuwa anavaa vichupi miaka kabla ya 1937 .
 
Hata mimi sikubalini na msemo eti ''kwa mara ya kwanza wamevaa nguo fupi. Kabla ya hapo wanawake walikuwa wanatembea nusu uchi, wakiwa wamefinika sehemu ya mbele tu..
 
Tupia na wewe Kapicha kusapoti Pingamizi...!

"Maendeleo hayana Chama"...
 
Ikitokea hawa watu wamefufuka naamini hapa duniani hawatakuwa na sehemu ya kuishi,maana sio sehemu rafiki kwao tena..
Sikuhizi makalio ya wanawake yanavaa ndala (bikini)
Zamani kulikua hakuna nguo kabisa, magome ya miti yalikua ndio nguo, kitakua cha ajabu nini kwa hao watu wa zamani wakati walikua wanatembea uchi...
 
Si ya kuogela hiyo mzee baba

ndio lakini hapo alipokuwa anapigwa hizi picha kuna watu wengi hivo sio sahihi kusema kwamba picha alizoleta ndio mara ya kwanza wanawake walivaa nguo fupi wakapita mbele za watu.zipo nyingine nyingi tu zinaonesha wanawake wanapita njiani na vi nguo vifupi na hakuna alitejali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…