Pichaz: Mtoto wa kajala ni tishio kwa uzuri kwa vibinti vistaa vyote hapa bongo

Safi sana..heri yake maana kuna wengine wameamua kufuga Mbwa tu..kuwa na mtoto ni issue pia
 
kajala mwenyewe sio mzuri ukiacha tako tu alilonalo so uzur mtoto wake atautoa wapi? icho kidog kisura ni p funk
 
huyo mtoto mzuri kweli watu hamna macho,
ila naona anakoelekea atakuwa kama kina wema tu
 
Hivi ni sahihi watu wazima kuweka picha ya mtoto kwenye mtandao na kumjadili bila ridhaa ya wazazi wake?
Biashara ni matangazo - nahisi mama yake ndio kaweka hii picha hapa!
 
Ana kautege na kamguu kamoja kafupi amuwahishe CCBRT badala ya kumleta huku..katafaa kwa matumizi ya bin Adam
 
Ana kautege na kamguu kamoja kafupi amuwahishe CCBRT badala ya kumleta huku..katafaa kwa matumizi ya bin Adam

Aisee nimeangalia hizo picha kuhusu mguu kuwa mfupi picha ya kwanza mguu wa kushoto unaonekana mfupi na picha ya pili inaoenekani mguu wa kulia mfupi,kama hajaflip picha moja basi ni pozi tu lake otherwise kweli ana tatizo la mguu mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…