Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukiandika CHUPI kuna tatizo gani? Maanake naona wengi mnaandika pichu!Hi guys.
Kwanini wajameni imekuwa hivi, vazi la sirini kuwa hadharani kiasi hiki si za kike wala za kiume kwanini lakini ...........Madukani ziko hadharani,wamachinga wanatembea nazo mitaani,kwenye matangazo ndio usiseme hebu tuambiane ile siri ya zamani imekumbwa na nini ????
Huyo kweli alikuwa hajielewi,si bora asingevaa pichu.Pichu zimeitwa nguo za siri kwasababu zinaficha nyeti zetu. Nakumbuka kuna mchepuko wangu wa zamani sana alikuja ghetto na Pichu imetoboka. Kwanza nilijiuliza huyu zimo kichwani, Hajajua kama nitamgegeda leo au maisha magumu? Sijamwabia mwenyewe lakini alijishtukia kama nimeona pichu yake ina tobo.
labla sehemu uliokua unakaa wewe walikua wa siri ila ukiona mtu anafika sana nguo zake za ndani ujue kabisa ni mchafu upo hapo! alafu mwanaume havaagi pichu tengua kauli yako kijana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo kweli alikuwa hajielewi,si bora asingevaa pichu.