Pictures - Blocks na rinta kwa ujenzi nyumba za kifamilia za kisasa

Pictures - Blocks na rinta kwa ujenzi nyumba za kifamilia za kisasa

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
icf.jpg

Blocks zenye mfereji katikati (grove) kwa rinta nyumba ya kawaida ya kifamilia

Katika ujenzi wa nyumba za kawaida za kifamilia tumekuwa na kasumba ya kuingia gharama kubwa za ujenzi kwa kutumia umiminaji wa rinta ghali sana kana kwamba nyumba itabeba uzito wa kuchukua floor nyingine juu yaani ghorofa. Nyumba ya kawaida haina haja ya kumimi rinta nzito sana ila inawezekana kuwa na bloks zenye grove katikati na hapo zikawekwa nondo kuzunguka kisha kumimina zege, gharama yake ikawa nafuu na ujenzi kwenda kasi zaidi badala ya huu wa gharama kubwa za kumimina rinta na mbao nyingi ni mtindo wa kizamani zaidi na hugharibu zaidi.
images

Solid blocks kwa ujenzi wa msingi wa nyumba

images
Blocks zenye shimo
images
bloks kwa kuta za ndani

Ujenzi wa nyumba hauhitaji zile blocks ambazo ni solid isipokuwa kwenye msingi (foundation), ili kupunguza gharama hizi blocks ambazo zina tundu au matundu katikati ni gharama nafuu na pengine hupunguza uzito kwa ujenzi wa ghorofa.

Ujenzi wa kuta/partition ndani ya nyumba kugawa vyumba hauhitaji blocks nene na nzito, zinahitajika nyembamba na zenye tundu zaidi kupunguza gharama.

Huu ni ushauri tu ili kuondokana na gharama zisizo muhimu katika ujenzi.

images
images

Kuta za ndani ya nyumba kutenga vyumba si lazima kujenga kwa kutumia maofali au blocks, inawezekana kabisa kutumia mbao na vyumba vikaonekana pengine nadhifu zaidi.
 
nimependa

mko tz kweli, tufanyie mchanganuo na bei za tofali zako kadiri ya matumizi yake mf msingi, linta nk

na kwa nyumba ya kawaida vyumba vitatu tofali ngapi zinatosha.

ningependa tufanye hii biashara haraka ikiwezekana
 
nimependa

mko tz kweli, tufanyie mchanganuo na bei za tofali zako kadiri ya matumizi yake mf msingi, linta nk

na kwa nyumba ya kawaida vyumba vitatu tofali ngapi zinatosha.

ningependa tufanye hii biashara haraka ikiwezekana

yaani watanzania tunapenda maswali kama haya....daaah....!!!
nyumba ya kawaida kwako, kwa mwenzio siyo... so, jitahidi kumwelezea size ya nyumba
 
icf.jpg

Blocks zenye mfereji katikati (grove) kwa rinta nyumba ya kawaida ya kifamilia

Katika ujenzi wa nyumba za kawaida za kifamilia tumekuwa na kasumba ya kuingia gharama kubwa za ujenzi kwa kutumia umiminaji wa rinta ghali sana kana kwamba nyumba itabeba uzito wa kuchukua floor nyingine juu yaani ghorofa. Nyumba ya kawaida haina haja ya kumimi rinta nzito sana ila inawezekana kuwa na bloks zenye grove katikati na hapo zikawekwa nondo kuzunguka kisha kumimina zege, gharama yake ikawa nafuu na ujenzi kwenda kasi zaidi badala ya huu wa gharama kubwa za kumimina rinta na mbao nyingi ni mtindo wa kizamani zaidi na hugharibu zaidi.
images

Solid blocks kwa ujenzi wa msingi wa nyumba

images
Blocks zenye shimo
images
bloks kwa kuta za ndani

Ujenzi wa nyumba hauhitaji zile blocks ambazo ni solid isipokuwa kwenye msingi (foundation), ili kupunguza gharama hizi blocks ambazo zina tundu au matundu katikati ni gharama nafuu na pengine hupunguza uzito kwa ujenzi wa ghorofa.

Ujenzi wa kuta/partition ndani ya nyumba kugawa vyumba hauhitaji blocks nene na nzito, zinahitajika nyembamba na zenye tundu zaidi kupunguza gharama.

Huu ni ushauri tu ili kuondokana na gharama zisizo muhimu katika ujenzi.

images
images

Kuta za ndani ya nyumba kutenga vyumba si lazima kujenga kwa kutumia maofali au blocks, inawezekana kabisa kutumia mbao na vyumba vikaonekana pengine nadhifu zaidi.

Hii elimu inabidi ipewe kipaumbele sana nchini kwetu.....watu tunajenga majumba mazito sana...daahh.....Insulated Concrete Forms ni aina nyingine ya Ujenzi iliyonivutia......
 
Wakuu I am looking for the joint venture on HOLLOW BRICKS MAKING in Dar es salaam....so anyone who is interested PM me I will explain the business. ...this is serious
 
Hii elimu inabidi ipewe kipaumbele sana nchini kwetu.....watu tunajenga majumba mazito sana...daahh.....Insulated Concrete Forms ni aina nyingine ya Ujenzi iliyonivutia......

Unacho sema ni kweli kiongozi.. Napia kuna insulated panels nzuri tu zinazo weza ku replace solid concrete blocks.. Tatizo wabongo wabishi sana, mpaka umshawishi atumie hollow au insulated panels kazi kweli kweli
 
Unacho sema ni kweli kiongozi.. Napia kuna insulated panels nzuri tu zinazo weza ku replace solid concrete blocks.. Tatizo wabongo wabishi sana, mpaka umshawishi atumie hollow au insulated panels kazi kweli kweli

......na hasa lile suala la KUTINDUA KUTA baada ya ujenzi wake kukamilika......yaani najiona binafsi najiona mjinga sana aisee.......kwa nini nisitumie hollow blocks ambazo ni rahisi kuweka provision za services well in advance......halafu utakuta TUNATINDUA zege la msingi ili kuweka plumbing services etc....yaani inaudhi sana.....utafikiri wahandisi wetu wanafanya kazi kwa kubahatisha!!......cc Fundi Mchundo
 
Last edited by a moderator:
......na hasa lile suala la KUTINDUA KUTA baada ya ujenzi wake kukamilika......yaani najiona binafsi najiona mjinga sana aisee.......kwa nini nisitumie hollow blocks ambazo ni rahisi kuweka provision za services well in advance......halafu utakuta TUNATINDUA zege la msingi ili kuweka plumbing services etc....yaani inaudhi sana.....utafikiri wahandisi wetu wanafanya kazi kwa kubahatisha!!......cc Fundi Mchundo

Pia gharama za kumimina zege ni kubwa zaidi kuliko hii, nchi zilizoendelea nyumba za kawaida za kuishi umiminaji wa seze ni yambo ya zamani. Jambo la msingi kumimina msingi ndo muhimu.
 
Pia gharama za kumimina zege ni kubwa zaidi kuliko hii, nchi zilizoendelea nyumba za kawaida za kuishi umiminaji wa seze ni yambo ya zamani. Jambo la msingi kumimina msingi ndo muhimu.

Mimi najenga nyumba ya sqm 240. je, nitahitaji kiasi gani cha tofali za renter? Gharama yake ikoje na estimate ya zege la renter ikoje? Ahsante
 
Back
Top Bottom