Pictures from Fidel Odinga's Funeral




Fidel will be buried a few meters from his grandfather, The Late Jaramogi Oginga Odinga's mausoleum.

 
Mkuu Ab-Titchaz sijamwona Magufuli katika picha vipi kuna nini au anaogopa panga la CCM la kuanza kampeni kabla ya muda.
 
Last edited by a moderator:
Zaidi ya kuwa mtoto wa Odinga X pm... Fidel alikuwa ni nani katika serikali ya Uhuru Kenyatta.. Naona mazishi yapo kitaifa hasa ukiangalia nyenzo za usafiri zilizotumika ni za serikali.... Na Odinga ni politician wa kawaida tu kwa sasa...

Naomba nieleweshwe!
 
Mara nyingi nimekuwa mkosoaji Wa serikali ya Uhuru, lakin kwa jinsi nilivyoona serikali imetoa ndege za kesho kusafirisha mwili Wa Fidel na jinsi walivyompa ushirikiano mkubwa odinga muda juu Wa majonzi.
naomba nimpongeze Uhuru kenyata for the first time jaman.
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kudos serikali ya kenyata .mmeonyesha ukakamavu Wa kisiasa.
 
RIP young man.

African leaders do command royal following.Msishangae watu wakichinjana kugombea madaraka.kwani hadi wajukuu wanakuwa guarranteed the keys to the kingdom as confirmed to Ruto's great promise to Kenya statement.
 
sexologist Alipokuwa hai, Fidel alikuwa mtu wa vituko na alijulikana kwa ulevi mwingi. Kuna wakati alipatikana akiendesha gari yu mlevi na akalipa faini kimchezo. Lakini wajua sisi waafrika mtu akifa ni kumsifia bila mwisho. Hivi sasa Kenyatta ni kucheza siasa tu. Raila hata si mbunge, hata sio diwani. Wakati polisi wanakabiliana na Majangili wa Pokot na Turkana, hao huambiwa hakuna ndege. Lakini wakati fidel anakufa, ndege za kijeshi zatolewa, Ilhali Raila ana uwezo mkubwa wa kifedha kukodisha ndege zake mwenyewe. ni siasa tu mkuu. Hakuna lingine.
 
Dah kiukweli jamaa kazikwa kitaifa hongereni wakenya
 
Jameni matamshi ya nduguye Raila ni ya kishenzi. Utasa wa mke wa fidel wa kwanza mbona liwe swala la kuzungumziwa hadharani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…