Pierre a.k.a Konki Fire na Mungu asiye na mipaka

Wapo watu unaweza kuwahukumu kwa akili zako lakini hujui amebeba nini! Hujui Mungu anampango gani nae ...Soma hii kutoka kwa mdau lauzi96 nanukuu ..

"Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunatambulika kwa mungu kutokana na matendo yako na imani yako!
Watu wanadhani ukiwa sijui umeokoka! Mungu atakuwa anakuangalia ww tuu. kisa? Umeokoka, unakesha makanisani, lakini Kumbe Mungu hachagui anaangalia imani yako kwake!
 
Waafrika acheni upumbavu mungu hayupo ,mvua ni mvuke ulioganda ,pandeni miti lindeni mazingira mtapata mvua ,na hata zikitokea hazinyeshi fanyeni kilimo cha umwagiliaji msiombe hakun wa kumuomba,fanyeni kazi
 
Na wewe ni walewale wanaomchukulia Mungu kama Mjomba wao.

Acha dhihaka kwa Mungu aisee...

Kitu gani cha kumtukuza Mungu huyo Pierre amefanya?

Mwishowe utakuja sema hata makahaba na madrug dealer wamebarikiwa na Mungu.

yaani imebidi nishangae Mkuu pamoja na kusoma uzi mara mbili mbili, doh kweli watu tunatofautiana kwenye fikra
 
Una uhakika kila pesa/mafanikio anayopata mtu yanatokana na Mungu....?? Sasa watu kwa waganga wanafuata nini...? Mtu akiwa malaya akafanikiwa kwa kupata pesa ni neema..??

Wapo Wengi waliofanikiwa kupitia bihashara hii ya kuuza viungo vyao vya harusi na wanapiga hela zakutosha tu.....ila ukiangalia kwa jicho la pili hiyo ni laana na ni dhambi kwa Maelezo ya diza zote ....hapa ndo uwa najiuliza nn maana kamili ya dhambi na laana kama vipo upande wa Negative au postive??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…