Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni ya Tokomeza Zero, Liquid amepata mwaliko mwingine Ughaibuni. Lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ni kuhamasisha Tanzania Diaspora kutoa misaada kwa shule za Kisarawe. Hii ni hatua nzuri sana na yenye tija kwa taifa.
Nelson,
SUA-Morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app