Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Tena vinakuwaga vizee na wamama asaivi wako busy kigombea khanga na. KofiaMdomo huo🤣🤣🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena vinakuwaga vizee na wamama asaivi wako busy kigombea khanga na. KofiaMdomo huo🤣🤣🙌
Piga chini tuu, mbona wanahidi nitajenga barabara,piga chini Kwa kuwa wamedanganya!Kwa wabunge mnawaonea tu kazi ya mbunge sio kujenga barabara Wala kuleta maji hiyo ni ya serikali tatizo Kuna shida kubwa ya uelewa na ufahamu wa kazi za kibunge
Hata wao wanazingua kuahidi ahadi ya kujenga miundombinu na kuleta maendeleo wakati wanajua wazi hiyo si kazi yao na uwezo huo hawana.Piga chini tuu, mbona wanahidi nitajenga barabara,piga chini Kwa kuwa wamedanganya!
Nyerere hakua Tajiri mkuu lakini alipambania Taifa,saivi kazi kusifiaa tu kama wamekatwa vichwaa.Bora Trump atuchukue kama Gaza.Umaskinii ndugu unatusumbua sana
Tena round hii fedhea watu wamepewa adi madraft 😂
😂😂Nyerere hakua Tajiri mkuu lakini alipambania Taifa,saivi kazi kusifiaa tu kama wamekatwa vichwaa.Bora Trump atuchukue kama Gaza.
Hata wao wanazingua kuahidi ahadi ya kujenga miundombinu na kuleta maendeleo wakati wanajua wazi hiyo si kazi yao na uwezo huo hawana.
Ndo maana huwa wanakimbia kuishi majimboni kwasababu kila siku wanaletewa shida binafsi na wananchi na uwezo wa kuzitatua hawana wanashindwa kuwambia ukweli wananchi kuwa Hilo SI jukumu lao kwasababu waliwahadaa wananchi
Wanaigiza Ndio!Mfumo ndio tatizo sio muda wa mbunge au diwani.
Huwasikii na wao wana mshukuru Samia au unadhani wanaigiza?