mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
FaizaFoxy aipitie hiyo orodha yako ya majina. Yaani mimiamadiwenani hawataki kina MWAJUMA, Fartu, Hadija etcHaya haya abarini.kwa dar nimeapa kwa nafsi yangu kua sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure.never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani,japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo.kwanza wengi wachafu,much know,uncivilized n.k ila suala kubwa ni kua tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke,buguruni,mwananyamala,mbagala,manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana arufu alufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na ivyo viarufu alufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma,fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Sijawahi na naomba nisiwahi ugua huo ugonjwaWanaume tuna kikao leo saa 7 mchana ,,maana hili gono litatuua sasa
Kwa mjanja unawagundua kirahisi sanaMademu wa Uswazi ndio wanaoenda kujiuza Masaki, Oysterbay, Msasani Peninsula, Mbezi Beach, Bahari Beach na ushuani kote, halafu hujipachika majina ya Kimagharibi
Au kwa sababu jina lako limo miongoni mwa majina tajwa(iZAI)?Kumbe ni wewe na wao hawataki wasiotahiriwa kama wewe
Mademu hao tajwa miye kwangu ni takataka kwenye ishu ya mahusianoWe haujawahi kutana na mauno ya "Mwajuma Kiswaswadu" weeeeeeeeeeh. Acha kabisa.
Kwamba hawachelewi kushika mimba?mabinti wa uswahilini wanashika mimba acha tu.
yani kama unataka kutest uzazi wako unafanya kazi
Sawawewe unayechagua pa kuogelea sio muogeleaji wa kimataifa
mie naweka tu
Hivi walikuletea taarifa kuwa wanakupenda sana?Haya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Kwakweli wachache ndio wasafi na awa sio wa kupiga peku ni kwa kinga tena kwa matumizi sahihi kabisa maana magonjwa ya zinaa nje nje.Haya haya habarini, kwa Dar nimeapa kwa nafsi yangu kuwa sitolala na mwanamke wa uswahilini hata akinipa bure. Never hata awe na sura nzuri na umbo kiasi gani, japokuwa ni wachache ndo wana sifa hizo. Kwanza wengi wachafu, much know, uncivilized n.k ila suala kubwa ni kuwa tu sitokaa nilale na mwanamke wa uswazi.
Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mbagala, Manzese n.k mwanamke kutoka mitaa hii hata namba yake sihitaji.
Maeneo hayo mengi yana harufu harufu mno hali inayosababisha na hao wasichana kuwa na hivyo viharufu harufu pia pamoja na sababu zingine nyingi.
Mwajuma, Fatu,mwanahamisi,ashura,hadija,mwanaisha,mwanabibi,fadhila,zai wanipitie mbali kwa jina la mungu.
Yes ila siyo hivyo tu, hata shobo zao kwangu huwa nazikataa mapema sana. Kifupi wasinizoee na mimi nisiwazoee kabisa, tusizoeane.Hivi walikuletea taarifa kuwa wanakupenda sana?
Hivi gono limerudi tena kwa wingi? Nakumbuka miaka ya nyuma hakuna mwanaume rijali ambaye alikuwa hajaugua gono. Infact vijana wakikaa sehemu kupiga story za wanawake na mmoja aseme hajaugua gono alikuwa anaokekana kama fala fulani. cc Mshana Jr Kuugua gono ilikuwa kama certificate ya uanaume uliokamilika.Wanaume tuna kikao leo saa 7 mchana maana hili gono litatuua sasa