PIGO JINGINE KWA MAREKANI: Urusi na Uchina zatengeneza Nvidia card bora mara 800 ya zile za USA

PIGO JINGINE KWA MAREKANI: Urusi na Uchina zatengeneza Nvidia card bora mara 800 ya zile za USA

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Hii ni habari mbaya sana kwa Pro -USA.
**************** *******************
Wanasayansi kutoka nchi hizo mbili wamesuka algorithm mpya kwa kutumia teknolojia ijulikanayo kama "reverse engineering" na kuweza kuboresha kadi kadi za video game .

Algorithm hiyo mpya inaruhusu kadi za GPU hizo sio tu kuweza kutumika katika video games, lakini pia hata kuweza kufanya mahesabu makubwa ya kisayansi kwa kutumia kompyuta.

Uvumbuzi huu ulifikiawa kwa ushirikiano wa wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Shenzhen MSU-BIT, kilichoundwa na Chuo Kikuu cha Lomonosov Moscow State na Taasisi ya Teknolojia ya Beijing.

Hii inawaruhusu Urusi na China kupunguza utegemeo wao kwenye GPU za NVIDIA, na hivyo kudhoofisha athari za vikwazo vya Marekani.

Pia, Urusi na China hazitahitaji kununua GPU nyingi za NVIDIA, jambo ambalo kwa hakika tiyari limesha sababisha kuanguka kwa bei za hisa za NVIDIA katika masoko ya hisa duniani, anasema Rais wa shirika la Russoft, Valentin Makarov.

Makarov anaamini kuwa utafiti unaoendelea unajumuisha algorithm mpya za kujifunza kwa mashine na GPU ya kizazi kijacho inayotengenezwa huko Urusi.

Mafanikio haya yanaonyesha ustadi wa kiteknolojia wa Urusi, lakini pia yanatoa nafasi ya taifa hilo kuweza kuweza kushirikiana na Uchina na uwezekano wa ushirikiano wa baadaye na taifa India.

Chanzo: South China Morning Post na Sputnik
 

Attachments

  • IMG_20250202_182258.jpg
    IMG_20250202_182258.jpg
    80.1 KB · Views: 5
Hii ni habari mbaya sana kwa Pro -USA.
**************** *******************
Wanasayansi kutoka nchi hizo mbili wamesuka algorithm mpya kwa kutumia teknolojia ijulikanayo kama "reverse engineering" na kuweza kuboresha kadi kadi za video game .

Algorithm hiyo mpya inaruhusu kadi za GPU hizo sio tu kuweza kutumika katika video games, lakini pia hata kuweza kufanya mahesabu makubwa ya kisayansi kwa kutumia kompyuta.

Uvumbuzi huu ulifikiawa kwa ushirikiano wa wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Shenzhen MSU-BIT, kilichoundwa na Chuo Kikuu cha Lomonosov Moscow State na Taasisi ya Teknolojia ya Beijing.

Hii inawaruhusu Urusi na China kupunguza utegemeo wao kwenye GPU za NVIDIA, na hivyo kudhoofisha athari za vikwazo vya Marekani.

Pia, Urusi na China hazitahitaji kununua GPU nyingi za NVIDIA, jambo ambalo kwa hakika tiyari limesha sababisha kuanguka kwa bei za hisa za NVIDIA katika masoko ya hisa duniani, anasema Rais wa shirika la Russoft, Valentin Makarov.

Makarov anaamini kuwa utafiti unaoendelea unajumuisha algorithm mpya za kujifunza kwa mashine na GPU ya kizazi kijacho inayotengenezwa huko Urusi.

Mafanikio haya yanaonyesha ustadi wa kiteknolojia wa Urusi, lakini pia yanatoa nafasi ya taifa hilo kuweza kuweza kushirikiana na Uchina na uwezekano wa ushirikiano wa baadaye na taifa India.

Chanzo: South China Morning Post na Sputnik
Kwanini watanzania tunafuatiliaga vitu ambavyo havina uhusiano na maisha yetu ya kila siku? Kweli hiyo logarithm mwaniashi wa Ikwiriri inamsaidia nini kuijua?
 
Hii ni habari mbaya sana kwa Pro -USA.
**************** *******************
Wanasayansi kutoka nchi hizo mbili wamesuka algorithm mpya kwa kutumia teknolojia ijulikanayo kama "reverse engineering" na kuweza kuboresha kadi kadi za video game .

Algorithm hiyo mpya inaruhusu kadi za GPU hizo sio tu kuweza kutumika katika video games, lakini pia hata kuweza kufanya mahesabu makubwa ya kisayansi kwa kutumia kompyuta.

Uvumbuzi huu ulifikiawa kwa ushirikiano wa wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Shenzhen MSU-BIT, kilichoundwa na Chuo Kikuu cha Lomonosov Moscow State na Taasisi ya Teknolojia ya Beijing.

Hii inawaruhusu Urusi na China kupunguza utegemeo wao kwenye GPU za NVIDIA, na hivyo kudhoofisha athari za vikwazo vya Marekani.

Pia, Urusi na China hazitahitaji kununua GPU nyingi za NVIDIA, jambo ambalo kwa hakika tiyari limesha sababisha kuanguka kwa bei za hisa za NVIDIA katika masoko ya hisa duniani, anasema Rais wa shirika la Russoft, Valentin Makarov.

Makarov anaamini kuwa utafiti unaoendelea unajumuisha algorithm mpya za kujifunza kwa mashine na GPU ya kizazi kijacho inayotengenezwa huko Urusi.

Mafanikio haya yanaonyesha ustadi wa kiteknolojia wa Urusi, lakini pia yanatoa nafasi ya taifa hilo kuweza kuweza kushirikiana na Uchina na uwezekano wa ushirikiano wa baadaye na taifa India.

Chanzo: South China Morning Post na Sputnik
Kwahiyo wakaamu na jina la card watumie la watu wengine😃😃😃😃😃😃. Tuliza mizuka uandike vizuri.
 
Kwahiyo wakaamu na jina la card watumie la watu wengine😃😃😃😃😃😃. Tuliza mizuka uandike vizuri.
Kichwa maji huwezi elewa hizi next level threads
Kwanini watanzania tunafuatiliaga vitu ambavyo havina uhusiano na maisha yetu ya kila siku? Kweli hiyo logarithm mwaniashi wa Ikwiriri inamsaidia nini kuijua?
Bila shaka itakuwa umepotea njia wakati ukielekea Jukwaa la udaku na umbea!
 
Kwanini watanzania tunafuatiliaga vitu ambavyo havina uhusiano na maisha yetu ya kila siku? Kweli hiyo logarithm mwaniashi wa Ikwiriri inamsaidia nini kuijua?
inawezekana hawaijui ila wanaitumia kwakuwa uvumbuzi huu utapelekea utengenezaji wa computer chips kuwa wa gharama na fuu hivo kupata kifaa chenye technologia ya juu kwa gharama nafuu mpka huko ikwiriri
 
Kwanini watanzania tunafuatiliaga vitu ambavyo havina uhusiano na maisha yetu ya kila siku? Kweli hiyo logarithm mwaniashi wa Ikwiriri inamsaidia nini kuijua?
Kwani Mkuu, kadi za simu au ya benki kwa Wanaikwiriri haiwasaidii kimaisha?
 
Back
Top Bottom