sawa.... ila gharama za kusafirisha lazima zita double.Tutanunua Zambia,Malawi na Mexicoπππππππ
Kwanini mnafikiria kununua mahindi wakati mliwekeza pesa nyingi Galana irrigation project?, au kama kawaida yenu ya poor planning huo mradi umewashinda na pesa wamekula Uhuru relathieves?Port of Maputo...ππππ
Ni sawa we aint complaining.sawa.... ila gharama za kusafirisha lazima zita double.
kumbukeni,mzigo unaotoka zambia au malawi lazima kwanza upitie tz ili tuhakiki. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa sababu sisi ni an Independent Nation and we do whatever we feel like. Ukiumwa sana unaweza ukameza wembe.ππππ Tena sisi SI LDCKwanini mnafikiria kununua mahindi wakati mliwekeza pesa nyingi Galana irrigation project?, au kama kawaida yenu ya poor planning huo mradi umewashinda na pesa wamekula Uhuru relathieves?
Ok sawa nimekuelewa vizuri, unataka kusema sifa kubwa ya any failed state ni kuwa na miradi hewa, kama Galana, BRT ya kuchora, SGR ya kizamani na njaa isiyokwisha?Kwa sababu sisi ni an Independent Nation and we do whatever we feel like. Ukiumwa sana unaweza ukameza wembe.ππππ Tena sisi SI LDC
Wakenya wenzako walimjaribu kumuoji kama kweli ni mkenya akawathibitishia kwa kuongea lugha za kikenya na mambo mengine kuusu Kenya na wewe kama uamini muoji uone kama ni mtz au mkenya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeongea porojo kibao ila kusema unaweza kuishi Tanzania bila kukugundulika hilo mkuu jidanganye tu wabongo kwenye kukusanya taarifa wapo vizur na si ajabu uliachiwa kutembea tembea kwetu ni tiketi tosha unazan wenyeji ni maboya .Ukenya sio lugha tu, mimi hapa ninaweza kukushushia Kinyambo na pia Kipare zote lugha za Tanzania....Leo hii ninaweza kuishi ndani ya Tanzania bila yeyote kushtukia uraia wangu maana najua mengi kuhusu Tanzania hata zaidi ya wengi wenu, nimetembelea na kukatiza maeneo mengi ndani ya nchi yenu hiyo, mikoa na wilaya na vitongoji vingi, lakini kwa yote hayo, mimi ni Mkenya tena mzalendo wa nchi yangu kwa kwenda mbele, huniambii kitu na kamwe sitaihama nchi yangu, tutabanana humu humu hadi kieleweke.
Hivyo, Ukenya sio lugha tu, Ukenya sio kuijua Kenya, Ukenya ni zaidi ya hayo, Ukenya ni kuipenda nchi yako na bendera yake, wimbo wa taifa na kuwa tayari kuitetea kwa hali na mali. Wakenya, hata mkiona tunazozana, kila mmoja anaipenda Kenya mpaka ndani ya mifupa. Huyo Raila Odinga pamoja na kwamba ni mpinzani, au hata Kalonzo na wafuasi wao wanaipenda nchi yao mwanzo mwisho na hutokuta wanaponda kwenye mambo yasiyohusiana na siasa.
Sasa huyu mnayemsifia kuwa Mkenya kisa amejiita Mkikuyu timamu na kuongea maneno ya Kikikuyu na kuandika andika mambo ya Kikenya sio sifa tosha za Ukenya. Maana kasoro yake kubwa, anaponda hata mambo ambayo yanakumbatiwa na Wakenya wote, mambo ambayo yanatupa fahari ya kuwa Wakenya. Haiwezekani uponde ushindi wa wanariadha wetu au mafanikio ya vijana wetu kwenye nyanja za teknolojia halafu ujiite Mkenya.
Humu kuna Watanzania ambao hufungua akaunti zenye majina ya Kikenya, kunao ambao huchukia kila kitu cha Kenya, hawa Watanzania huwa nashuku labda jamaa atakua aliambiwa kwamba mamake kabakwa na Mkenya ndio akazaliwa, maana utakuta mtu ana hasira na Kenya na Ukenya kwa kila hatua au kila kitu, hadi mada zisizohusu Kenya lazima atazitafutia jinsi ya kuihusisha Kenya.
Subiri nitakuletea hapa picha ya Raila Odinga akimkumbatia mwanariadha Mkenya baada ya ushindi, itakupa uelewa kwa kina nini maana ya Ukenya.....
PoleTutanunua Zambia,Malawi na Mexicoπππππππ
Mimi Mkenya, Tena Mzalendo, Lakini hii kenya ambayo Uhuru na ruto walioitunga wao na kuiita kenya hapo mimi sipo. Kenya hii bandia ya ufisadi, wizi, ubepari na ukabila mimi siwezi kuwa mzalendo.Ukenya sio lugha tu, mimi hapa ninaweza kukushushia Kinyambo na pia Kipare zote lugha za Tanzania....Leo hii ninaweza kuishi ndani ya Tanzania bila yeyote kushtukia uraia wangu maana najua mengi kuhusu Tanzania hata zaidi ya wengi wenu, nimetembelea na kukatiza maeneo mengi ndani ya nchi yenu hiyo, mikoa na wilaya na vitongoji vingi, lakini kwa yote hayo, mimi ni Mkenya tena mzalendo wa nchi yangu kwa kwenda mbele, huniambii kitu na kamwe sitaihama nchi yangu, tutabanana humu humu hadi kieleweke.
Hivyo, Ukenya sio lugha tu, Ukenya sio kuijua Kenya, Ukenya ni zaidi ya hayo, Ukenya ni kuipenda nchi yako na bendera yake, wimbo wa taifa na kuwa tayari kuitetea kwa hali na mali. Wakenya, hata mkiona tunazozana, kila mmoja anaipenda Kenya mpaka ndani ya mifupa. Huyo Raila Odinga pamoja na kwamba ni mpinzani, au hata Kalonzo na wafuasi wao wanaipenda nchi yao mwanzo mwisho na hutokuta wanaponda kwenye mambo yasiyohusiana na siasa.
Sasa huyu mnayemsifia kuwa Mkenya kisa amejiita Mkikuyu timamu na kuongea maneno ya Kikikuyu na kuandika andika mambo ya Kikenya sio sifa tosha za Ukenya. Maana kasoro yake kubwa, anaponda hata mambo ambayo yanakumbatiwa na Wakenya wote, mambo ambayo yanatupa fahari ya kuwa Wakenya. Haiwezekani uponde ushindi wa wanariadha wetu au mafanikio ya vijana wetu kwenye nyanja za teknolojia halafu ujiite Mkenya.
Humu kuna Watanzania ambao hufungua akaunti zenye majina ya Kikenya, kunao ambao huchukia kila kitu cha Kenya, hawa Watanzania huwa nashuku labda jamaa atakua aliambiwa kwamba mamake kabakwa na Mkenya ndio akazaliwa, maana utakuta mtu ana hasira na Kenya na Ukenya kwa kila hatua au kila kitu, hadi mada zisizohusu Kenya lazima atazitafutia jinsi ya kuihusisha Kenya.
Subiri nitakuletea hapa picha ya Raila Odinga akimkumbatia mwanariadha Mkenya baada ya ushindi, itakupa uelewa kwa kina nini maana ya Ukenya.....
Miradi hewa?ππππ Bagamoyo tutaita nini?Ok sawa nimekuelewa vizuri, unataka kusema sifa kubwa ya any failed state ni kuwa na miradi hewa, kama Galana, BRT ya kuchora, SGR ya kizamani na njaa isiyokwisha?
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.html
[emoji23] [emoji85]
Construction of US $10bn Bagamoyo port in good progressMiradi hewa?ππππ Bagamoyo tutaita nini?
Mradi bila picha na progress kawaonyeshe Wadanganyika.ππππConstruction of US $10bn Bagamoyo port in good progress
sisi huwa hatuchori miradi, tunatekeleza kimya kimya, wengi hamkujua wakati tunajenga BRT, mlistukia wakati wa ufunguzi.
Construction of US $10bn Bagamoyo port in good progress
Hatuna makopo ya rangi ya kucherea pichaMradi bila picha na progress kawaonyeshe Wadanganyika.ππππ
Bagamoyo imekukera...Lamu yetu bado inaendelea kwa kasi...hapa kazi tu.Hatuna makopo ya rangi ya kucherea picha
Kenya ranked as 'failed state'
Magufuli ni kiboko yao....Bagamoyo imekukera...Lamu yetu bado inaendelea kwa kasi...hapa kazi tu.