Pigo kubwa kwa Kenya laja kutokea Tanzania

Hayo maindi yote mnayoenda kununua huko kama yasipopitia Tz, au tukifunga border mtapata shida sana, bei ya usafiri itakua kubwa na hakuna kitu mtakachokuwa mmefanya
 
Hayo maindi yote mnayoenda kununua huko kama yasipopitia Tz, au tukifunga border mtapata shida sana, bei ya usafiri itakua kubwa na hakuna kitu mtakachokuwa mmefanya
Tunayapitishia Maputo, Mozambique na kuyavukisha na Meli hadi Mombasa tena in Bulk sio trucks. Kwa Economics ndio inaitwa economy of scale...the more you transport at once the cheaper the commodity.
 
Mtoa mada wewe uchumi hauujui hata kidog. Bidhaa inapokuwa processed huwa inapanda beinkaribu mara 20 pia daman and supply curvr kitu kikiwa adimu demand inapanda na demand ikipanda bei pia inapanda vilevile so badala ya kushuka bei itapanda

Wewe ni mmoja kati ya waliofeli somo la uchumi. Eti kitu kikiwa adimu ndo demand inapanda, please have a time to consult your faculty so as you understand the meaning of ceteris paribas, demand curve, supply curve, the laws of demand and supply halafu uje kwenye mjadala.
 
Teh teh anyway the article has two sides, anyway wa Tz tungefocus kwenye masoko ya nchi zote ziliztotuzunguka na haya mambo ya kukomoana ya mtu mweusi tuwaachie other primitives hapo ndo ambapo tunapokosea, i think hapo ndo tunapo fail kama nchi na hapo ndipo Kenya wanapotuzid kwan wame prove wao ni wazungu wa roho. Hizi roho za kukomoana ni mambo ya kizamani sanaa tuna fail at it.
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] pongezi zinastahili kwa hili
 
Mhhhh haya Tz vs Kny ......sidhani dont undermine them eh.he!
 
Asante huna hata haja ya kuwa na cheti kama
nanihii kulielewa hili !!!
 
You are not a Kenyan....
 
Mwenye Enzi Mungu ibariki nchi yangu Tanzania milele yote!
 
Tanzania inafanya mambo kwa kukidhi mahitaji na matakwa yake ili kuleta maisha mazur kwa wananchi pia kuipeleka nchi katika uchumi wa kati... Bravo TZ.
 
NSSF ndio walikuambia wanawakomoa Kenya?
 
Mkikuyu -Akili timamu

Huyu jamaa ni Genius na nimemfatilia kwanza , anajua kiswahili fasaha , anajua kiingereza na anajua mambo mengi both Kenya na Tanzania na Dunia kwa ujumla

Kwa Jicho la tatu ,ni extra ordinary person na inawezekana yuko sehemu nyeti sana na amepikwa akaiva na akaiva kwelikweli ,

Good to him ,kawa defeat wakenya wote Wa humu hadi wameanza kumwambia sio Mkenya na ameweza kuwafanya wadhihirishe Tabia zao za UKABILA na kwa hili jamaa nampa tano

Kama wakikuzingua Njoo Tanzania uombe uraia tutakupatia


Safii sana Mkikuyu -Akili timamu
 
Huyu ni Mfipa. Hapana Fanya judgment based on the face value.
 
Serikali si ilikuwa na sera ya kujitoa katika biashara na kuhakikisha inaweka mazingira mazuri tu ya biashara?

Sasa hii sera imeishia wapi?

Hizo fedha za mifuko ya akiba ya uzeeni zinavyotolewa kutumika kwenye biashara hizi,kuna oversight gani?

Walioweka fedha wenyewe wametoa ruhusa?

Biashara zikipata hasara na fedha kupotea, waliowekafedha kwenye mifuko ya uzeeni wakitaka kustaafu watalipwaje?
 
Mifuko ya hifadhi ya jamii isipowekeza michango ya wanachama watawezaje kulipa pensions za wanachama?

Kuna social security funds zisizofanya biashara Duniani?
 
Huyu ni Mfipa. Hapana Fanya judgment based on the face value.
How can I asses his /she face wakati humu ni anonymous na avatar yake ni ya Rais Kenyatta au una maanisha Kenyatta ni Mfipa?
 
Tufanye maendeleo pasina kuangalia majirani zetu kikubwa jamii tunaneemeka na maendeleo yetu?

Kama tukifanya kwa kumkomoa mtu ni kujidanganya na tutakuwa na wakati mgum tukianza kuishi kwa visasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…