Pigo kubwa kwa Kenya laja kutokea Tanzania

Pigo kubwa kwa Kenya laja kutokea Tanzania

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Kwanzaa ikumbukwe zaidi ya 60% ya nafaka inayoliwa Kenya inatoka Tanzania, baada ya serikali kuweka marufuku ya kusafirisha maindi ghafi kutoka Tanzania mwaka Jana.

Mifuko ya hifadhi ya jamii ilitakiwa kuwekeza pesa kwenye viwanda badala ya real-estate business hivyo nssf na ppf waliingia ubia kufufua na kuanzisha viwanda vikubwa vinne vya kusaga mahindi na kukoboa mchele na kuupack

Viwanda hivyo pamoja na vingine zaidi ya 25 vikiwemo vya sukari, viatu, pharmaceuticals, nyama, nguo etc vinajengwa Tanzania nzima.

Viwanda Hivi vya nafaka vitakua Arusha, Mwanza, Iringa na Dodoma ambapo vitazuia kabisa maindi kwenda Kenya na nchi nyingine badala yake maindi yote Tanzania yatauzwa kwenye hii Mifuko ya jamii na wao wataprocess na kuuza unga tu au mchele ambao upo packed up.

Maana yake ni kwamba Viwanda vya nafaka vya Kenya vitakosa malighafi na kupelekea kupata pigo kubwa hata wwkinunua maindi kwingine gharama za usafiri zutakua kubwa hivyo kufanya unga wa Tanzania utakaofurika kwenye mashelves ya supermarkets za Kenya kua cheap

Kiwanda Cha National Milling Kilichopo Kizota Dodoma Kinafufuliwa Na NSSF Kupitia Bodi Ya Nafaka. Mashine Tayari Zimepanda Meli Kuja Tanzania. @nssftz Vitendo Zaidi Kuliko Maneno [HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]

IMG_20180406_085924_062.jpg
IMG_20180406_085856_952.jpg
IMG_20180406_085824_234.jpg
IMG_20180406_085952_972.jpg
 
Hii ni habari njema sana kwa wtz lakini sidhan kama lengo hasa ni kukabiliana na wakenya...lengo Ni kuongeza thaman ya mazao hayo na kupunguza uhaba wa ajira mtaani pamoja n.a. kukuza kipato. ...kama wataathirika kwa namna yoyote ile basi wachukue hatua as kuingia shambani ili nao waweze kuendelea na uwekezaji kama huu ambao ilikua ni lazima uje ufanyike...
Nikishawahi kusema Tz tusifanye vitu kumkomoa mtu bali tufanye kwa ajili ya maendeleo yetu na vizaz vyetu...tutafika mbali kama tukifanya maendeleo yetu tunaangalia zaidi faida kwa watz

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hii ni habari njema sana kwa wtz lakini sidhan kama lengo hasa ni kukabiliana na wakenya...lengo Ni kuongeza thaman ya mazao hayo na kupunguza uhaba wa ajira mtaani pamoja n.a. kukuza kipato. ...kama wataathirika kwa namna yoyote ile basi wachukue hatua as kuingia shambani ili nao waweze kuendelea na uwekezaji kama huu ambao ilikua ni lazima uje ufanyike...
Nikishawahi kusema Tz tusifanye vitu kumkomoa mtu bali tufanye kwa ajili ya maendeleo yetu na vizaz vyetu...tutafika mbali kama tukifanya maendeleo yetu tunaangalia zaidi faida kwa watz

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wewe aliekuambia lengo ni kukabiliana na wakenya ni nani?

Soma upya analysis yangu kama una akili utaelewa

... Maana yake ni kwamba Viwanda vya nafaka vya Kenya vitakosa malighafi na kupelekea kupata pigo kubwa hata wakinunua maindi kwingine gharama za usafiri zitakua kubwa hivyo kufanya unga wa Tanzania utakaofurika kwenye mashelves ya supermarkets za Kenya kua cheap na unga wa Kenya kua expensive
 
Wewe aliekuambia lengo ni kukabiliana na wakenya ni nani?

Soma upya analysis yangu kama una akili utaelewa

... Maana yake ni kwamba Viwanda vya nafaka vya Kenya vitakosa malighafi na kupelekea kupata pigo kubwa hata wakinunua maindi kwingine gharama za usafiri zitakua kubwa hivyo kufanya unga wa Tanzania utakaofurika kwenye mashelves ya supermarkets za Kenya kua cheap na unga wa Kenya kua expensive
Kwani huo unga unaenda muuzia nani hasa? Target kubwa ni nani? Watz wengi tunalima mahindi vijijini unga sio tatizo naweza safirisha mahindi mjn nkawa nasaga tu bila shida...demand ya unga Tz ikoje vs mahindi
 
At the end of the day tutawasahau wakina Pembe milling. Watakuja kununuliwa na Bakhresa kwa bei ya kutupa.
Ukweli mtupu, Kenya itaathirika sana kwa hii Tanzania industrialization effects, mpaka wale wanaozalisha chakula cha kuku wataguswa, tunaojua biashara ya maindi kati ya Tanzania na Kenya tunaelewa
 
Kweli umesoma theory za uchumi wewe? Unajua sisi wakenya tumejipanga vipi kuongeza uzalishaji wa mahindi kwetu tuepuke siasa zenu za kununua opposition members. Unavyooangalia hatua moja mbele, wengine wameshaona 1000 miles, Think widely!
 
Tutanunua Zambia,Malawi na Mexico😀😀😀😀😀😛😛
Uzuri Uhuru aliliona hili mapema ndio maana tulipomuona akienda Mozambique kutaka connection ya Mozambique port na Mombasa hatukushangaa

Tulijua ni maindi ya Malawi na Zambia yanatafutiwa uchochoro baada ya Kuona Tanzania will no longer supply maindi to Kenya anymore saivi ni unga tu
 
Ndio maana mpo maskini miaka yote maana kila kitu mnafanya mkiwaza Kenya, jameni mumezungukwa na nchi nyingi sana, mbona msiziwaze na hizo pia.
Nawaonea huruma siku zote maana itawachukua muda mrefu sana kuifikia Kenya, kainchi ketu kadogo lakini kamewanyima usingizi vizazi hadi vizazi pamoja na kwamba liinchi lenu lina kila kitu.
 
ila viwanda hivi vya kina nssf vitaweza kubeba mahindi yote? Soko la sembe hiyo itakuwaje, ni hatua nzuri sana. Naona kama mahitaji ya sembe yanatoshwa na azam. Ukitilia maanani sembe ni poor food.
 
ila viwanda hivi vya kina nssf vitaweza kubeba mahindi yote? Soko la sembe hiyo itakuwaje, ni hatua nzuri sana. Naona kama mahitaji ya sembe yanatoshwa na azam. Ukitilia maanani sembe ni poor food.
Hahaa.. Mkuu rich food ni zipi?
 
Kaeni na mahindi yenu!
Ikiwa sera yenu kubwa ni ili Kenya iadhirike,poleni sana! Kenya imekuwepo,ipo na itakuwepo bila tikisho toka danganyika!
Nchi nyingi duniani Kenya ikiwa moja wao zinajitahidi kuimarisha AI (Artifial Intelligent) na nyinyi bongolala mko kwa vita ya mahindi ya kusagwa!!
 
Kaeni na mahindi yenu!
Ikiwa sera yenu kubwa ni ili Kenya iadhirike,poleni sana! Kenya imekuwepo,ipo na itakuwepo bila tikisho toka danganyika!
Nchi nyingi duniani Kenya ikiwa moja wao zinajitahidi kuimarisha AI (Artifial Intelligent) na nyinyi bongolala mko kwa vita ya mahindi ya kusagwa!!
Unatokwa na povu bure. Unga Safi kutoka Tanzania kwa bei nafuu ni jambo la maana sana kwa kenyan consumer.This is a great win for free trade within EAC.
Next should be cheap cement from Dagote plants in Tanzania. Win-win deals
 
Back
Top Bottom