Pigo kwa UKAWA Huko Zanzibar!

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Tulitegemea kwamba UKAWA wangezuia Sheria ya Kura za Maoni, 2013 kutokupitishwa na Baraza la Wawakilishi kwa kuwa kuna wana-UKAWA wengi (CUF + CCM) lakini nambo yameenda kinyume na Sheria hiyo imepitushwa leo na Baraza hilo.
Mimi nashauri UKAWA wajipange upya kupiga kura za HAPANA Aprili 30 ili Katiba Inayopendekezwa irudishwe kwenye Bunge Maalum na hatimaye kufanyiwa marekebisho tanayohitajika, sio kususa!!
 
CUF wajaribu kufanya fujo ndani ya Baraza la Wawakilishi na hatimaye kutoka nje lakini haikuzaa matunda, Sheria imepita!
 
Nani asiyekujua kuwa wewe ni gamba la kjani!!!hatutaki kusikia ushauri wa kinafiki
 
Suala la katiba pendekezwa lisijadiliwe tena na wala "ukawa" isifanye lolote; iendelee kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu. Ajenda ya UKAWA katika kampeini ya uchaguzi iwe katiba mpya kwa maana hakijafanyika chochote. Hakuna kupinga, hakuna kuunga mkono. Shughuli iwe ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2015.
 

Mungu akulinde sana mkuu .
 

wewe usipotoshe watu acha kabisa.

Infact kilichofanyika kule barazani ni another ATTEMPT ya kutaka kuivunja GNU kwa kutaka eti CUF wakasirike na ule uhuni uliofanywa kule. mbinu imejulikana tayari

Huwezi kuwa na GNu halafu mawaziri wakagomea maamuzi au kutoka nje kuonesha kutounga mkono jambo la serikali mimi niuite uchafu ule wa mswaada ya kura ya maoni. Hilo mawaziri kutoka CUf kwa mara ya kwanza leo wamefanya. subiri uone results yake.

Hali inaonesha serikali haikuwa na msimamo na imegawika. Barazani hakukukwa na makubaliano ilikuwa ni fujo tu.

Sijui mtwambie watu wa sheria katika hali ya sintofahamu, kelele na kupiga meza kiasi kile eti unawahoji watu na kusema hoja imeungwa mkono hajulikani aliye kanusha wala aliyesapoti. BUSARA IKO WAPI?

Mihafidhina leo imekubuhu kiburi ijifikiri labda CUF watajiudhulu nafasi zao au pengine watasusa. hali hii inamjengea shida Dr Shein bure na sijui nani anamshauri vibaya?

Serikali yake imekosa kitu kinaitwa COLLECTIVE RESPONSIBILITY na COLLECTIVE decision. hii ni AIBU walioitengeza wapambe wake SUBIRI TUONE kuanzia kesho.
 

Kwa hiyo suala la Katiba sio muhimu ila kwenda Ikulu ndio muhimu?
 
Nani asiyekujua kuwa wewe ni gamba la kjani!!!hatutaki kusikia ushauri wa kinafiki

Mimi sio "gamba la kijani" mkuu, usisikilize maneno ya baadhi ya watu wanaofikiria nusu nusu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…