Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uko kama nilivyokua .Nikiwa sii.na pesa nawataman ma manzi.Nikizipata sasa hata akil sijui huwa inawasahau vp mpaka niishiwe au mambo yangu ya msingi nimalizane nayo ndio nawakumbuka tena 😂😂😂Sina pesa ndo maana namtamani ila nikiwa nazo nadhani sitomfikiria kabisa
Hiyo mikucha sijui wanaipendeaga nini!Hizo kucha vipi ni dracula?
Chalesi au kimei yupi huyoKimei alifaidi
Halaf bwege m1 anakwambia usizame chumvini kwa mtoto kama huyu kweli?N mmoja kati ya wanawake maarufu naowatamani kimapenzi akifatia na Wini.
Mkuu acha tu nakerwa Sana na hizo kuchaHiyo mikucha sijui wanaipendeaga nini!
Hapa unalamba ad puaHalaf bwege m1 anakwambia usizame chumvini kwa mtoto kama huyu kweli?
C unajua tena ukiwa huna pesa unakuwa na mipango mingi afu ukiwa na pesa unawaza mengineWewe uko kama nilivyokua .Nikiwa sii.na pesa nawataman ma manzi.Nikizipata sasa hata akil sijui huwa inawasahau vp mpaka niishiwe au mambo yangu ya msingi nimalizane nayo ndio nawakumbuka tena 😂😂😂
Yah huyo huyoWini aliyeimba Mandingo ???
Sema it happens, mimi hakuna celebrity ninayemkubali kama Jordin Sparks.
Halafu Jason Derulo akawa anamchezea tu 🤣🤣🤣
Ni kwel.Mipango sio matumiz wanasemaC unajua tena ukiwa huna pesa unakuwa na mipango mingi afu ukiwa na pesa unawaza mengine
Namjua fresh,si yule anayesema anataka mandingo..wine wa adoado ft marioo..Yes, n msanii.
Ndo anayetulia demu tunayemtamani huyu mwamba?Muulize Aziz Bakhresa!
anaekula hapo ni Marioo na PlatinumzNdo anayetulia demu tunayemtamani huyu mwamba?
basi tu umasikini mbaya sana, em checki mwanaume mwenzako anakojolea pazuriiii, yaani pazuriiiDaah mama-e uchawi wa mademu ni umaarufu na pesa lakni Sana Sana ni umaarufu, ukiwa ni maarufu hata kama sh chenga , utawala Sana hawa watoto wazur