Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali Tupo Tabata, Temeke, Gongo la mboto na ChanikaWeka location mpwa, mambo ya kuletewa pikipiki mlangoni ni hatari
Weka na bei mtu aje amejipanga au wewe ni dalaliNakubali Tupo Tabata, Temeke, Gongo la mboto na Chanika
Sio dalali tupigie kwa taarifa zaidiWeka na bei mtu aje amejipanga au wewe ni dalali
Asante mkuu location imewekwa kwenye comments kuhusu bei hatuweki sababu ni kua bei zinabadirika Kila wakati wazo lako ni zuriBiashara kama hii huwa inapunguza wateja hususani bango lako linapokosa vitu basic kama vile bei ya kila bidhaa na location halisia ya ofisi zenu.
Habari za mara piga simu sijui njoo pm, dm n.k zinatengeneza walakini kwenye biashara kuliko ukiweka kila kitu hadharani
Wapi mkuu bajaji zipo brand new sio kwa bei hiyoKwanini bajaji unauza milioni moya?
Kama hutaji Bei acha tujipangie Bei. Wabongo mtabadilika lini?Wapi mkuu bajaji zipo brand new sio kwa bei hiyo
M. 3 ila uje na fundiTvs 125 bei gan????