Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
ZinazoLakin mkuu boxer hazina choke ya kuinua na mkono maybe TVs.
😀😀😀 Mi ninayotumia haina hako kachuma...
"Ndo maan waendesha Boxer tunawatafuna sana ao mnaowaita wake zenu sababu sisi sperm zetu hazilali"Wenye magari kwenye huu uzi tunashangaa tu vile self zikiwagomea vile mnapiga Kiki full kutetemeka sehemu zenu mnashitua sperm zimelala.
Sperm zinatakiwa ziamke ukiwa unapiga mashine, upige tako ndo zitoke."Ndo maan waendesha Boxer tunawatafuna sana ao mnaowaita wake zenu sababu sisi sperm zetu hazilali"
Alisikika bodaboda mmoja....
Twende Mbele Turudi nyuma..Sperm zinatakiwa ziamke ukiwa unapiga mashine, upige tako ndo zitoke.
Sasa mkuu unataka umwage kwa kupiga Kiki tu.
Duh ndio matoleo mapya au hiyo unayoona hapo ni Boxer dume toleo la awali ninayo tangu 2017😀😀😀 Mi ninayotumia haina hako kachuma...
Ndo ile mdomo wa mamba??Duh ndio matoleo mapya au hiyo unayoona hapo ni Boxer dume toleo la awali ninayo tangu 2017
Yah ndo yenyewe kama walizogawiwa maafisa ugavi juzi😂Ndo ile mdomo wa mamba??
Ile yenye front mud guard ndefu ndefu?
Ziko vizuriYah ndo yenyewe kama walizogawiwa maafisa ugavi juzi😂
ulitakiwa uweke block original , box lake limeandikwa bajaj bajaj, kwenye box kuna stika inasehemu yenye rangi ya gold ukikwangua kama unavokwangua vocha utakuta neno GENUINEWakuu hizi pikipiki kwa Bongo hazifai ...zinatoa moshi hatari ...nimeweka block mpya napo bado inatoa moshi Boxer ...nishaurini niweke block kampuni gan ili isiendelee kutoa moshi??
Ndio ipo ivyo yangu ...Yan ina kelele balaaKwenye swala la nguvu panaboa sana. Na unakuta pikipik inamuugvurumo mkubwaa pikpiki inatetemeka huku imechemka balaa