Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Nahitaji pikipiki isiyozidi cc125, hasa mpya. Ni wapi ninapoweza kuipata kwa dar na aina zipo ni bora?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda maeneo ya kariakoo ndo utapata aina tofauti tofautiNahitaji pikipiki isiyozidi cc125, hasa mpya. Ni wapi ninapoweza kuipata kwa dar na aina zipo ni bora?!
Asante, nipo huko naangalia angaliaNenda maeneo ya kariakoo ndo utapata aina tofauti tofauti
Nina vipesa vya mahindi nilivyouza mpepai huko, nikaona nije mjini "kutafuta" hiyo pikipiki... Sio wote wazoefu ama wanajua vile unavovijua wewePikipiki nazo ni za kutafuta mkuu?