INAUZWA Pikipiki inauzwa

Pikipik za mabagala?

Kuna Jambo lilinikuta juu ya ununuz wa pikpk hukohuko

Wanunuzi mjilizishe Sana Kuna ujanja mingi Sana katka hz pkpk

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbagala nako kuna binadamu jamani dah!kwahiyo ningeandika naishi mbezibeach ingekuondoa wasiwasi?hayo yaliyokukuta yaseme hapa ili mnunuzi awe na tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…