Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka mkuu nasi tujifunzePikipik za mabagala?
Kuna Jambo lilinikuta juu ya ununuz wa pikpk hukohuko
Wanunuzi mjilizishe Sana Kuna ujanja mingi Sana katka hz pkpk
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shida nn??Pikipik za mabagala?
Kuna Jambo lilinikuta juu ya ununuz wa pikpk hukohuko
Wanunuzi mjilizishe Sana Kuna ujanja mingi Sana katka hz pkpk
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli pikipiki nyingi zikiibiwa zinaenda kule, alafu wanapakia usiku kupeleka mikoan ukoPikipik za mabagala?
Kuna Jambo lilinikuta juu ya ununuz wa pikpk hukohuko
Wanunuzi mjilizishe Sana Kuna ujanja mingi Sana katka hz pkpk
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli pikipiki nyingi zikiibiwa zinaenda kule, alafu wanapakia usiku kupeleka mikoan uko
Pikipiki ni yangu na kadi halisi IPOKweli pikipiki nyingi zikiibiwa zinaenda kule, alafu wanapakia usiku kupeleka mikoan uko
Ok ok haina shida mkuuPikipiki ni yangu na kadi halisi IPO
Mbagala nako kuna binadamu jamani dah!kwahiyo ningeandika naishi mbezibeach ingekuondoa wasiwasi?hayo yaliyokukuta yaseme hapa ili mnunuzi awe na tahadhari.Pikipik za mabagala?
Kuna Jambo lilinikuta juu ya ununuz wa pikpk hukohuko
Wanunuzi mjilizishe Sana Kuna ujanja mingi Sana katka hz pkpk
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bado ip0??Mbagala nako kuna binadamu jamani dah!kwahiyo ningeandika naishi mbezibeach ingekuondoa wasiwasi?hayo yaliyokukuta yaseme hapa ili mnunuzi awe na tahadhari.