mkurya wa rebu
Member
- Aug 24, 2015
- 53
- 36
Vipi kuhusu muungurumo kubadilika mkuu?Piston ring zimekufa mkuu kaweke nyingine nguvu inarudi tena
inatoa moshi? ina missVipi kuhusu muungurumo kubadilika mkuu?
Hapana haitoi shida ni huo muungurumo ishakimbia kwa mda inatoa mlio Kama wa cherehaniinatoa moshi? ina miss
Weka injini ya Guta itarud kama zamani.Habari wanajamvi Nina pikipiki yangu Boxer 150, naitumia matumizi binafsi imebadili muungurumo na kupoteza nguvu. Shida Itakua kitu gani?
Kwa anaejua tafadhali kwenye injini
Nenda kwa fundi afungue block, kisha akague piston rings, valve zote inlet na outle, block kama limechimba pembeni na piston kama Ina tatizo.
Baada ya kukagua block, piston, valve, valve seal, cylinder head gasket, gasket ya chini kwenye block na Uzi wa moto ndio akuambie ubadili vitu gani.
Hiyo tabia ya kubadili piston rings tu muda si mrefu tatizo litarudi tena. Hao mafundi wanaokuambia badili rings tu kila siku utaenda garage.