mkurya wa rebu
Member
- Aug 24, 2015
- 53
- 36
Habari wanajamvi nina pikipiki yangu Boxer 150, naitumia matumizi binafsi imebadili muungurumo na kupoteza nguvu. Shida Itakua kitu gani?
Kwa anaejua tafadhali kwenye injini
Kwa anaejua tafadhali kwenye injini