Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mkuu ngoja nije hewaniIko chini sana mkuu
Hio ni bei ya TVS bombardier ambayo naipost muda si mrefu.
Kama una nia kweli ongeza 400k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ngoja nije hewaniIko chini sana mkuu
Hio ni bei ya TVS bombardier ambayo naipost muda si mrefu.
Kama una nia kweli ongeza 400k
Mtumie mzazi wako atakushukuru sana kwa hio sadaka.Chukua laki mbili ipo kwa mfuko wa shati hapa
Aisee zina tatizo gani ama mimi ndiye sijui bei vizuri??, kama cheap🤔
Mkuu ushaanza mambo yako.Aisee zina tatizo gani ama mimi ndiye sijui bei vizuri??, kama cheap hivi🤔
Kwani nimekosea wapi mkuu?, basi nisamehewe nilikua nauliza tu 🤔Mkuu ushaanza mambo yako.
Nicheki 0744033555 tufanye biashara.Kwani nimekosea wapi mkuu?, basi nisamehewe nilikua nauliza tu 🤔
Nipigie tumalize biashara mkuu
Karibu sana mkuu tuonaneNaweza kukuona Nipo mkoa natarajia kurudi siku ya juma tatu
Ile fekon ipo ?Karibu sana mkuu tuonane
Napatikana kwa 0744033555
Iwe pikipiki, gari mpya au used, sumu used kwa bei nafuu nakutafutia
Imebaki 1 boss karibuIle fekon ipo ?z
Ipo mkuuNamba B pikipiki bado ipo???
Laki na nusu unapata tecno pop 2 F.Hiyo ya laki na nusu bado ipo?
Samahani mkuu, nilikuwa namaanisha ile ya laki nane na nusuLaki na nusu unapata tecno pop 2 F.
Karibu
Karibu sana mkuu tuonane
Napatikana kwa 0744033555
Iwe pikipiki, gari mpya au used, sumu used kwa bei nafuu nakutafutia