Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujawahi kuzungumza ndo maana nataka tuzungumze . . . Imagine nakulilia kwenye majukwaa for weeksKwann uumizwe na anonymous character ambaye hamjawahi kuzungumza? Halafu I'm not teasing, nakutana tu na posts zako, you're funny
kinatumia battery au ndio kinafungwa kamba uanze kumvuta huyo mtoto.
🤣 not weeks, just two. Inabidi uache, kweli tena. Me nikiwa tayari nitakufwata, inaweza ikawa mwaka ujao, so nisahau tu tafadhaliHatujawahi kuzungumza ndo maana nataka tuzungumze . . . Imagine nakulilia kwenye majukwaa for weeks
Mwaka 1-5Watoto wa umri gani wanachezea hiko kigari?
Hakitumii battery mtoto anakaa unamsukuma au anajisukuma mwenyewekinatumia battery au ndio kinafungwa kamba uanze kumvuta huyo mtoto.
Spare zipo na mtoto anajipush mwenyeweSpea zake zinapatikana ? Kina cc ngapi ?
[emoji23][emoji23]Kilivyo kama ngalawa, kitakuwa chasukumwa na upepo
duh ya kusukuma tenaHakitumii battery mtoto anakaa unamsukuma au anajisukuma mwenyewe
Yeahduh ya kusukuma tena
😆Jamani!Kilivyo kama ngalawa, kitakuwa chasukumwa na upepo
Honi inaliaje bila betri.. au ni kama zile za askirim?Hakitumii battery mtoto anakaa unamsukuma au anajisukuma mwenyewe
Hii ni simple toy haitumii umeme wowoteHoni inaliaje bila betri.. au ni kama zile za askirim?
Kilivyo kama ngalawa, kitakuwa chasukumwa na upepo
Ndio kiuzwe hiyo bei? Bora umnunulie baiskeli tuu apambane na hali yakeHakitumii battery mtoto anakaa unamsukuma au anajisukuma mwenyewe