INAUZWA Pikipiki, Toys na Baiskeli za Watoto zinauzwa

INAUZWA Pikipiki, Toys na Baiskeli za Watoto zinauzwa

Dah nmekuja nduki nimeona laki 4 halafu nkajiwazia mimi ndio wa kwanza kuona post kwahyo chap nichangamkie mchongo kumbe ni ferari mwisho kilo 30kg. Ila co mbaya nna 50 ntaweka mguu mmoja nje na mkono wa kushoto naamini kilo 30 ntakuwa nmeshazipata nitime kitaa
 
Ukweli mkuu nimefata huu uzi nikijua nakuja kukutana na halali yangu

kumbe ni halali ya chaliii angu asee,daah! sema Ferari ni Ferari tu baba
 
Dah nmekuja nduki nimeona laki 4 halafu nkajiwazia mimi ndio wa kwanza kuona post kwahyo chap nichangamkie mchongo kumbe ni ferari mwisho kilo 30kg. Ila co mbaya nna 50 ntaweka mguu mmoja nje na mkono wa kushoto naamini kilo 30 ntakuwa nmeshazipata nitime kitaa
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baskeli nzuri na imara kwa ajili ya mtoto wako ipo sokoni


Brand :Weilaixi
Condition:New
Price:165,000/=
Type :Kids Bike
Size : 12"
Recommended age : (2-5) years of age
Colour :Green
Training Wheels
Air pumped tyre
Frame Material : Steel
Rim Material: Steel
Mudguards:√
Fully enclosed printed chain guard
Full chain guard for extra protection
Bell:√
Water Bottle:√
Removable stabilisers:√

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania

Contacts:Call/Whatsapp 0764108259

IMG_20220720_160646.jpg
 
Back
Top Bottom