Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
- Thread starter
-
- #361
Yeah haina haja ya kibaliHazihitaji kibali cha TAA.
Hapana bossHaihitaji kibali cha TCRA ?
Wakala hatunaKama mna wakala jiji la Mwanza mnishtue niwe nachukua pic mojamoja,wasukuma hii kitu ntapiga hela za kutosha.
Hiyo ni kawaida kwa watoto na ni Dalili ya afya njemaHii nikimchukulia mwanangu atachanganyikiwa. Tatizo ni fundi sana ntakuta kashaifumua ili aitengeneze .
Hiyo ni kawaida kwa watoto na ni Dalili ya afya njemaHii nikimchukulia mwanangu atachanganyikiwa. Tatizo ni fundi sana ntakuta kashaifumua ili aitengeneze .
Karibu sanaNgoja niendelee kujichanga, ili niweze kuchukua hata 2 tu kwa ajili ya kuzitumia kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Karibu bossNahitaji mkuu mnapatikana wapi
Karibu bossSipendi mambo ya Kobe Byant yajitokeze ila nitachukua mbili.
25,000/=Hiyo ni 25,000 au 250,000?