INAUZWA Pikipiki, Toys na Baiskeli za Watoto zinauzwa

INAUZWA Pikipiki, Toys na Baiskeli za Watoto zinauzwa

Waambie kabisa kuwa huwezi kucontrol direction ( kulia,kushoto,mbele au nyuma) pia huwezi kucontrol altitude ukiipaisha itaenda ulekeo wa upepo,inapaa na kushuka yenyewe halafu inapaa tena unaweza kuizuia isipae tena kwa kutumia hiyo pad ukiipaisha kwenye eneo tulivu ndio maana kwenye box hapo wameandika indoors flight.
Ukiwaambia haya hawatashangaa hiyo bei ndio maana inauzwa bei rahisi.
Mimi ninayo na naongea kwa experience kama nimedanganya nikosoe.
 
Waambie kabisa kuwa huwezi kucontrol direction ( kulia,kushoto,mbele au nyuma) pia huwezi kucontrol altitude ukiipaisha itaenda ulekeo wa upepo,inapaa na kushuka yenyewe halafu inapaa tena unaweza kuizuia isipae tena kwa kutumia hiyo pad ukiipaisha kwenye eneo tulivu ndio maana kwenye box hapo wameandika indoors flight.
Ukiwaambia haya hawatashangaa hiyo bei ndio maana inauzwa bei rahisi.
Mimi ninayo na naongea kwa experience kama nimedanganya nikosoe.
Upo sahihi

Operator skill level ni beginner na nimeiandika hapo juu Kwenye features
 
Jeep kwa ajili ya watoto ipo sokoni

Ina sifa zifuatazo..

CONDITION:Used

Gari ni ya kuchaji inatumia 12v battery

Ina Mp3 system(USB,children songs)


Ina beba uzito mkubwa(40 Kg)


Speed yake ni 5-7km/h

Taa za mbele na nyuma

Inapita kokote(kwenye mchanga, lami,inafukia mashimo)

Inafaa watoto wenye umri wa miaka 3-10

PRICE:450,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania

Call/Whatsapp +255764108259
Follow us on Instagram: Toyrides_Africa

IMG_20220919_173516_946.JPG
 
Back
Top Bottom