Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
- Thread starter
- #101
Off road beast
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
400,000 bossGari Ina makorombwezo yote hayo mnauza 30,000/- tu?
Sawa bossWeka vizuri Sasa hiyo Bei pale kwenye post ya kwanza. Specs ziambatane na Bei.
Shukrani
Ikichaji full inaenda umbali Gani kabla ya kuchaji Tena?Sawa boss
12v battery inaenda 12km with a speed of 6km/h on average na ikiharibika tuna mafundi wetu kufanya repairIkichaji full inaenda umbali Gani kabla ya kuchaji Tena?
Mnazo nyingi au ni hii Moja tu?
Na ikiwa na hitilafu mna mafundi wa kuzikarabati?
Haina shida na karibu sanaOkay ila kwa ushauri mzazi akinunua hii anunue na baikeli kwa mwanae ile sio tu kufurahia bali pia kufanya mazoezi...
Hii itatusaidia kama Taifa kuwa na vijana wakakamavu na sio madogo yenye vitambi (ukizingatia hata kwenda shule na popote pale ni kwenye gari)
Anyway samahani kama nimeleta siasa kwenye biashara yako
Sio rahisi kufumu fumua [emoji28]Mwanangu alivyofundi kwa kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kitu nitakuta kafumua mfumo wote wa gari
Umezidi kg 30? Kama haujazidi unaenda nayo bila shidame si mtoto ila naitaka niwe naendea dukani.[emoji1]
Aisehhhh kuna watoto ni tabu, anyway kuna swali je inatembea kwa umbali gani baada ya kuchaji ikajaa fullSio rahisi kufumu fumua [emoji28]
Hiyo gari inatumia 12v battery inayokaa na charge kwa 2hrs na average speed 6km/hAisehhhh kuna watoto ni tabu, anyway kuna swali je inatembea kwa umbali gani baada ya kuchaji ikajaa full
Karibu sanaGari nzuri