Pikipiki ya 110cc naweza kusafiri nayo umbali mrefu?

Pikipiki ya 110cc naweza kusafiri nayo umbali mrefu?

Haya mambo yanawezekana sema inataka ujasiri na umakini tu, chuma hiyo (Sanya) nilitembea nayo Kutoka Mwanza-Shinyanga-Nzega(Tabora)-Singida-Dodoma-Iringa-Mbeya, (maskani moja hiyo) na baada ya Siku 4 nikasogea mpaka Tunduma kumpa hi mshkaji wangu pale boarder.
Nilitoka Mwanza saa Tano asbh nikalala Dom saa moja jioni, asubuhi nikaamsha saa moja asbh saa kumi jioni nikatoboa Mby town.
Safari ya kurudi sikulala njiani ila ndo baridi ya usiku iliniishia no matter mavazi ya kujikinga nilivyojiset yaani motor cycle driving gears kama zote.
In short niliienjoy sana Ile tour ingawa Sina mpango wa kuirudia tena ile kitu aisee, so piga moyo konde hata hiyo 110 Yako ni usafiri tosha kabisha muhimu kuzingatia motorcycle safety and road rules.View attachment 2424251
umetisha hii inapasua sana ... yangu mimi speed 60 inatosha kabisa
 
Wataalam, kwema?

mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.

Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)

Lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka Dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.

Kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.

Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.

Kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.

Sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali, nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.

Je, wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc.

(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)View attachment 2352833
Copy ya wosia pia uiache kwa wazazi wako
 
Haya mambo yanawezekana sema inataka ujasiri na umakini tu, chuma hiyo (Sanya) nilitembea nayo Kutoka Mwanza-Shinyanga-Nzega(Tabora)-Singida-Dodoma-Iringa-Mbeya, (maskani moja hiyo) na baada ya Siku 4 nikasogea mpaka Tunduma kumpa hi mshkaji wangu pale boarder.
Nilitoka Mwanza saa Tano asbh nikalala Dom saa moja jioni, asubuhi nikaamsha saa moja asbh saa kumi jioni nikatoboa Mby town.
Safari ya kurudi sikulala njiani ila ndo baridi ya usiku iliniishia no matter mavazi ya kujikinga nilivyojiset yaani motor cycle driving gears kama zote.
In short niliienjoy sana Ile tour ingawa Sina mpango wa kuirudia tena ile kitu aisee, so piga moyo konde hata hiyo 110 Yako ni usafiri tosha kabisha muhimu kuzingatia motorcycle safety and road rules.View attachment 2424251
Nimeipenda hii mashine.naomba detail zake na wapi inapatikana na bei.
 
Nikiwa na boxer speed ya 50 tuu naona kama inapaa, ndio useme 70 israel yulee
Hiyo labda ma san lg
Aaah mkuu mimi 70-80 natembea vizuri tu na Boxer 150. Tena hapa hapa mjini kukiwa na uwazi wa kutosha. Mfano darajani Kigamboni pale huwa naserereka kinoma.
 
Wataalam, kwema?

mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.

Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)

Lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka Dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.

Kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.

Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.

Kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.

Sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali, nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.

Je, wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc.

(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)View attachment 2352833
Mkuu hapo unapiga route bila shida kabisa! tena cc za injini sio kigezo maana kuna jamaa amezunguka nchi nyingi sana akiwa na pikipiki yake siikumbuki aina ila ilikuwa na 60cc

mimi mwenyewe ni mtu wa route ndefu na pikipiki katika vitu ambavyo huwa nazingatia

1. Tairi ziwe vizuri kuepuka pancha wakati wa safari

2. mfumo wa mafuta na uchomaji mafuta uwe vyema kabisa

3. Hakikisha chain na Sprocket ziwe katika hali nzuri lakini pia usisahau ku adjust chain pamoja na kuifanyia Lubrication (Hii ni muhimu sana)

4. beba mzigo kidogo ili pikipiki iwe nzito kidogo, hii inakupa balance hata kwenye spidi kubwa na hata kwenye upepo mkali

5. vaa protective gears

6. weka vituo vya kupumzika angalau nusu saa lakini pia kunywa maji ya kutosha inasaidia kupunguza uchovu
 
Mkuu hapo unapiga route bila shida kabisa! tena cc za injini sio kigezo maana kuna jamaa amezunguka nchi nyingi sana akiwa na pikipiki yake siikumbuki aina ila ilikuwa na 60cc

mimi mwenyewe ni mtu wa route ndefu na pikipiki katika vitu ambavyo huwa nazingatia

1. Tairi ziwe vizuri kuepuka pancha wakati wa safari

2. mfumo wa mafuta na uchomaji mafuta uwe vyema kabisa

3. Hakikisha chain na Sprocket ziwe katika hali nzuri lakini pia usisahau ku adjust chain pamoja na kuifanyia Lubrication (Hii ni muhimu sana)

4. beba mzigo kidogo ili pikipiki iwe nzito kidogo, hii inakupa balance hata kwenye spidi kubwa na hata kwenye upepo mkali

5. vaa protective gears

6. weka vituo vya kupumzika angalau nusu saa lakini pia kunywa maji ya kutosha inasaidia kupunguza uchovu
Mkuu umetisha Sana.. asante sana
 
Mkuu ukitumia Lita ngapi ..? Je gharama zilizidi kusafiria na gari...? Najipanga kwenda simiyu/shinyanga kesho
 
Back
Top Bottom