Dr.philosophy
Senior Member
- Oct 12, 2012
- 122
- 27
Shukran mkuu🙏Ngoja waje walioko dodoma,Mungu akufanikishe hitaji lako.
Hahaa shida ya vijana atakuwa na usongo siku 2 tu akishapata hela ya kutumia 50 au laki basi stori zinaanza anasahau shida zake mnaanza kugombana.Nikiwaza watu kama nyie weny usongo na maisha mnakosa chance mpaka mnakuja kuomba roho inaniuma sna
Kuna madogo wawili siku za nyuma niliwapa pikipiki za mkataba walicho nifanya sina hamu (mpaka nikaapa siwezi tena kumpa mtu pikipiki ya mkataba bora niendeshe mwenyewe tu)
But best of luck
Broo Mimi nahitaji kwakwel na Kama unaweza tu kunisaidoa nisaidie na mm nijikwamue mkuu...hakika hutajutia kunipa Mali yakoNikiwaza watu kama nyie weny usongo na maisha mnakosa chance mpaka mnakuja kuomba roho inaniuma sna
Kuna madogo wawili siku za nyuma niliwapa pikipiki za mkataba walicho nifanya sina hamu (mpaka nikaapa siwezi tena kumpa mtu pikipiki ya mkataba bora niendeshe mwenyewe tu)
But best of luck