Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Usambaani hakuna wa hivyo japo ni Tanga.
Umeambiwa ya pwani wewe unaleta ya Usambaani. Msambaa sio mtu wa pwani na Tanga si yote iko pwani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usambaani hakuna wa hivyo japo ni Tanga.
Wapo mkuu lkn siku hizi weupe si unanunuliwa dukani na bado tanga mombasa zanzibar asilimia kubwa ni watu weupe shombe shombe...Kwa hiyo huko hakuna black womens
Nashukuru kwa kumfafanulia vizuri mkuu ubarikiwe sanaUmeambiwa ya pwani wewe unaleta ya Usambaani. Msambaa sio mtu wa pwani na Tanga si yote iko pwani!
Una ugomvi na watu Wa maraMTUACHE NA PWANI YETU BARA WANAJIVUNIA MAKOVU YA MAPANGA HASA ARUSHA NA MARA
Wanakoga bila shaka kabisa.Ivi wakichora ivi wanaoga kweli!?
siro waarab hao sema wakupakwapakwa.rangi ya andazi.mbona waarabu watupu mkuu
Sis, na wewe ni mweupe hivi?Magnificent indeed! Idd inakuja naenda kupaka!
Ni vizuri utapendeza sana, ukipakaa nicheki pm nione ulivyopendezaMagnificent indeed! Idd inakuja naenda kupaka!
Hamna mkuu ni urembo wakawaida huo, hivyo viumbe vinapenda vitu vya kunukia vizuri mfano pafyum nzuri zile za kunukiaMajini hapo hayachezi mbali japo kama mapaja, tumbo na msambwanda vinachorwa ni sawa tu. Majini tutapambana nayo[emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Yop!Sis, na wewe ni mweupe hivi?
Njoo Pm nikuelekezeNaipenda!
Yop si ndiyo mazuri! hahahahaMajini hapo hayachezi mbali japo kama mapaja, tumbo na msambwanda vinachorwa ni sawa tu. Majini tutapambana nayo[emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Ok mr abbasfarudume! Ramadhani hii! Duh!Ni vizuri utapendeza sana, ukipakaa nicheki pm nione ulivyopendeza
Ramadhani hii ndugu yangu! hahahahaNjoo Pm nikuelekeze
Kwa kweli!Hamna mkuu ni urembo wakawaida huo, hivyo viumbe vinapenda vitu vya kunukia vizuri mfano pafyum nzuri zile za kunukia
Kwa kweli!