Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji
Wakati uho nilikuwa nimekata nyama ndogo ndogo ikiwa inachemka ilikuwa nusu na robo uswahili wanaita robo tatu
Nikawa nasubir nyama iive nakanza kukata kachumbali amboy ili uhusisha Nyanya moja ,karoti, tango moja na kitunguu maji kimoja
Baada ya kumaliza hapo nikaona nyama ipo tayari nikaanza kupika sasa ila kachumbari sikuweka chumvi lwasababu sije vujia maji ikawa na mchunzi sipendi mchuzi wa kachumbari .
Nikaweka sufuria jikoni nikiwa nimeweka mafuta
Baada ya kuona mafuta yamepata moto vizuri nikaweka nyama nilio chemsha kuna wengine wanapika nyama hawachemshi ila nashuri nyama ichemke sana jikoni
Baada ya kuona mafuta yamechemka vizuri nikatia nyama kama unavyoona hapo juu
Baadae nikawa naikaanga ili nyama iwe na rangi ya kahawia uku nikiwa nimetia kitunguu swahumu
Nilipoona rangi ya nyama ishakolea kuwa kahawia na kitunguu swahumu kimeiva nikatia kitunguu maji
Nikakikaanga na bada ya hapo nikaweka kiungo cha pilau pilau masala
Nikachukua karoti baada ya mchanganyiko wangu kuwa vizuri nikazikaanga
Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio saga wakat nasaga nyanya niliweka mafuta kidogo ili iwe ya njano
Nikaisubir iive kidogo nikaweka mchele nilio letewa na shaanganzi tutunfye wa mwakaleli mbeya
Baada ya hapo nikakadilia maji nikauacha jikoni niakrudi jf kuchata
Nilifunika nikapunguza moto ukawa mdogo kabisa
Nilipo kuja kuangalia baada ya nusu saa nikaweka hoho sasa
Nilipo kuja kuaangalia baada ya dakika 15 chakula kikawa kimeiva vzr kabisa nikaipua na kuweka kwenye poti
Na nikaanda matunda yangu pia
Na sasa nakula karibuni
Wakati uho nilikuwa nimekata nyama ndogo ndogo ikiwa inachemka ilikuwa nusu na robo uswahili wanaita robo tatu
Nikawa nasubir nyama iive nakanza kukata kachumbali amboy ili uhusisha Nyanya moja ,karoti, tango moja na kitunguu maji kimoja
Baada ya kumaliza hapo nikaona nyama ipo tayari nikaanza kupika sasa ila kachumbari sikuweka chumvi lwasababu sije vujia maji ikawa na mchunzi sipendi mchuzi wa kachumbari .
Nikaweka sufuria jikoni nikiwa nimeweka mafuta
Baada ya kuona mafuta yamepata moto vizuri nikaweka nyama nilio chemsha kuna wengine wanapika nyama hawachemshi ila nashuri nyama ichemke sana jikoni
Baada ya kuona mafuta yamechemka vizuri nikatia nyama kama unavyoona hapo juu
Baadae nikawa naikaanga ili nyama iwe na rangi ya kahawia uku nikiwa nimetia kitunguu swahumu
Nikachukua karoti baada ya mchanganyiko wangu kuwa vizuri nikazikaanga
Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio saga wakat nasaga nyanya niliweka mafuta kidogo ili iwe ya njano
Nikaisubir iive kidogo nikaweka mchele nilio letewa na shaanganzi tutunfye wa mwakaleli mbeya
Nilifunika nikapunguza moto ukawa mdogo kabisa
Nilipo kuja kuangalia baada ya nusu saa nikaweka hoho sasa
Nilipo kuja kuaangalia baada ya dakika 15 chakula kikawa kimeiva vzr kabisa nikaipua na kuweka kwenye poti
Na nikaanda matunda yangu pia
Na sasa nakula karibuni