Pilau kachumbari na matunda

Pilau kachumbari na matunda

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji

1738602959970.jpeg

Wakati uho nilikuwa nimekata nyama ndogo ndogo ikiwa inachemka ilikuwa nusu na robo uswahili wanaita robo tatu

1738603030799.jpeg

Nikawa nasubir nyama iive nakanza kukata kachumbali amboy ili uhusisha Nyanya moja ,karoti, tango moja na kitunguu maji kimoja
1738603121294.jpeg

Baada ya kumaliza hapo nikaona nyama ipo tayari nikaanza kupika sasa ila kachumbari sikuweka chumvi lwasababu sije vujia maji ikawa na mchunzi sipendi mchuzi wa kachumbari .

Nikaweka sufuria jikoni nikiwa nimeweka mafuta

1738603315529.jpeg

Baada ya kuona mafuta yamepata moto vizuri nikaweka nyama nilio chemsha kuna wengine wanapika nyama hawachemshi ila nashuri nyama ichemke sana jikoni

1738603375016.jpeg

Baada ya kuona mafuta yamechemka vizuri nikatia nyama kama unavyoona hapo juu

Baadae nikawa naikaanga ili nyama iwe na rangi ya kahawia uku nikiwa nimetia kitunguu swahumu
1738603459134.jpeg
Nilipoona rangi ya nyama ishakolea kuwa kahawia na kitunguu swahumu kimeiva nikatia kitunguu maji
1738603532877.jpeg
Nikakikaanga na bada ya hapo nikaweka kiungo cha pilau pilau masala

1738603579322.jpeg

Nikachukua karoti baada ya mchanganyiko wangu kuwa vizuri nikazikaanga
1738603627504.jpeg

Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio saga wakat nasaga nyanya niliweka mafuta kidogo ili iwe ya njano
1738603916957.jpeg

Nikaisubir iive kidogo nikaweka mchele nilio letewa na shaanganzi tutunfye wa mwakaleli mbeya

1738603992083.jpeg
Baada ya hapo nikakadilia maji nikauacha jikoni niakrudi jf kuchata

1738604045567.jpeg

Nilifunika nikapunguza moto ukawa mdogo kabisa

1738604081097.jpeg

Nilipo kuja kuangalia baada ya nusu saa nikaweka hoho sasa
1738604132760.jpeg

1738604155037.jpeg

Nilipo kuja kuaangalia baada ya dakika 15 chakula kikawa kimeiva vzr kabisa nikaipua na kuweka kwenye poti

1738604225837.jpeg

Na nikaanda matunda yangu pia

1738604266402.jpeg

Na sasa nakula karibuni

1738604334487.jpeg
 
Back
Top Bottom